Dejane
JF-Expert Member
- Jan 1, 2014
- 50,587
- 71,492
Aache ujinga. Atupe hio namba tumtumie faster
[emoji23][emoji23][emoji23] woyoo atoe namba
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aache ujinga. Atupe hio namba tumtumie faster
Ungeombwa Million nadhani uume ungedondoka chini kabisa.
Ujengewe Sanamu kando ya Daraja la Mfugale mkuuHuyu dada siku ya kwanza nimemtoa out nlimwona tu alivyokuwa na ushamba. Dada mzuri wa sura na umbo. Lakini kichwani ana ushamba flani. Mtu mmeonana jana leo anakutumia msg ana njaa na anafanya kazi.
Huu ni upumbavu wala si ujanja. Wanawake wengi hawajielewi. Binafsi sipendi mtu anayetangaza shida zake kwangu. Huyu dada alianza kunitoa hamu mapema sana. Nikawa hata nikikaa naye sijisikii hamu. Ila nimemchana liwe funzo kwake na wenzie.
View attachment 2332307
Basi ndio tukubaliane, hakuna kuombana pesa mpaka pingu zifungwe! Beyonce anaimba akituambia "I ain't your momma" nasisi tunasema we ain't your fathers
Ah usijali kukoma kwa zamu[emoji1787][emoji1787][emoji1787] ngoja tukisha waunganisha kwa grid ya taifa na kuwafanya single maza ndio tuone nani atacheka wa mwisho[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hahaha[emoji23][emoji23][emoji23] woyoo atoe namba
Kaniangusha sana sanaAngempiga bomu
Mchawi ndalamaaaLeo huna mbususu ya kupiga nin
Kwa maana hiyo hata siku moja usikubali mke wako kupokea zawadi au kuomba chochote kutoka kwa mtu mwengine asiyekuwa maharimu wake.Kwa sababu mwisho itakuwa ni habari nyengine.Maharimu wake ni kama baba.mtoto.kaka na wengineo walioorodheshwa kwenye Qur'an.Hao huna haja ya kuuliza ni haki yake na yenu nyote kupokea.Mke wangu mmoja anaomba pesa kila wakati nikiwa nazo nampa na nikiwa sina namueleza na hanibughudhi tena.Uzuri na mimi ananipa kila ninachostahiki kutoka kwake na nimegundua zile pesa anazoniomba siku nikiwa na shida kweli ananirudishia zote kilaini kabisa.Kwa kweli kuomba kitu mwanamke kwa mwanamume au mumewe haina maana ya unyonge au ushamba isipokuwa hii ni tabia ya kike kujikaribisha kwa mumewe.
Tafuta wa size yakoHuyu dada siku ya kwanza nimemtoa out nlimwona tu alivyokuwa na ushamba. Dada mzuri wa sura na umbo. Lakini kichwani ana ushamba flani. Mtu mmeonana jana leo anakutumia msg ana njaa na anafanya kazi.
Huu ni upumbavu wala si ujanja. Wanawake wengi hawajielewi. Binafsi sipendi mtu anayetangaza shida zake kwangu. Huyu dada alianza kunitoa hamu mapema sana. Nikawa hata nikikaa naye sijisikii hamu. Ila nimemchana liwe funzo kwake na wenzie.
View attachment 2332307
Sister nakustahi tu sababu Quran inatutaka tuwachukulie hivyo mlivyo nyie wanawake.Kwa maana hiyo hata siku moja usikubali mke wako kupokea zawadi au kuomba chochote kutoka kwa mtu mwengine asiyekuwa maharimu wake.Kwa sababu mwisho itakuwa ni habari nyengine.Maharimu wake ni kama baba.mtoto.kaka na wengineo walioorodheshwa kwenye Qur'an.Hao huna haja ya kuuliza ni haki yake na yenu nyote kupokea.
Nina wasi wasi huyu jamaa aliyeombwa pesa kidogo nguvu zikamuishia atakuwa ana jinsia na hisia za kike kidogo mwilini mwake.Au tusimlaumu kwa sababu muombaji kumbe ni malaya tu.
Ukiwa huna pesa ukiombwa na mkeo mwambie tu huna na unakwenda kutafuta.Kama ameomba nyingi patana naye ili apunguze sio kuishiwa nguvu.
Sema huu ujasiri nauhitaji sanaHuyu dada siku ya kwanza nimemtoa out nlimwona tu alivyokuwa na ushamba. Dada mzuri wa sura na umbo. Lakini kichwani ana ushamba flani. Mtu mmeonana jana leo anakutumia msg ana njaa na anafanya kazi.
Huu ni upumbavu wala si ujanja. Wanawake wengi hawajielewi. Binafsi sipendi mtu anayetangaza shida zake kwangu. Huyu dada alianza kunitoa hamu mapema sana. Nikawa hata nikikaa naye sijisikii hamu. Ila nimemchana liwe funzo kwake na wenzie.
View attachment 2332307