mbalizi1
JF-Expert Member
- Dec 16, 2015
- 21,057
- 41,992
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyo ni gf wetu sio wako peke Yako shtukaYeye ndiyo kanikosea mimi
[emoji28][emoji28]Nimependa unavyojiamini mkuu…gud!!
Ninakukumbusha tu india ni mbali
Week ya 4 then still una hesabu kuwa ni gal wako !? [emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23] me huyu mwingine hapa nahisi ndio tushaachana. ni week ya nne hii inaenda hakuna anayemsemesha mwenzie.[emoji3]
Mh bado kuna matumizi ya X badala ya S!
unanipenda au anaipenda,,,kauli mkuu pls hahahhahahaahUmesimamia msimamo gani sasa, ila haipendezi kwa mwanaume kuwa na tabia ya kujikausha huku bado unanipenda hiyo pisi
utakuwa mchaga weweNi marufuku mwanaume kuomba radhi zaidi ya mara mbili, itoshe kusema samahani mara 2 tu, kama mwanamke hawezi kukusamehe endelea na ishu zako, mwanaume ukiomba msamaha mwanamke anatakiwa akuheshimu sana sasa shida yao ndiyo wanataka kutumia hiyo gia kukupanda kichwani
Mwenzake kamwaga njiti zote. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mikausho mikausho tu.ukianza watu wanamaliza [emoji16][emoji16]ulikuwa unatingisha kibiriti ee[emoji2957][emoji2957]pole
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hivi unafikiri yeye hana kazi za kufanya kwamba akuwaze wewe tu kwani wewe MUNGU
mpumzishe mtoto wawatu
Weee huu uandishi ni wako? Sikatai ninaandika vibaya mie ila wee ni kichefu chefu, khaaahBasi wadau nimetafutwa hapa shukranii [emoji257][emoji257][emoji257][emoji257][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]Za jion xjaktafta kw nia mbay nachotak kujua mim kfurushi nmeachwa au laa ili niendlee na maixh yangu man kmy kmetawala xjajua tatz uktak utanjb uxpotaka xaw ila nltak kujua hlo t kam wakufua kwako amepatkana wawez namby niendl3 na maixh yangu n hayo t
Huu muandiiko wako mzee umekaa kivulana vulana zaidi.
SiumuacheTulikwazana kidogo na my girlfriend nikaamua nikae kimya! Nashangaa naye yupo kimyaa siku ya 3 ina isha leo hivi kuna upendo hapo [emoji849][emoji849][emoji849]
Nilitegemea atanitafuta ataomba msamaha lakini kaamua naye kukausha kama mimi.