Amenikosea badala ya kuniomba msamaha kakaa kimya tu

Amenikosea badala ya kuniomba msamaha kakaa kimya tu

Eti ukitaka utanitafuta na usipotaka sawa!!! Naona wa kufua amepatikana.. [emoji23][emoji23][emoji23] upuuzi tuu...kwa hyo miaka yote alikuwa anafua yy...?? Nakuzaba na block la hatari..!!!
Wanawake ndiyo asili yao mkuu hapo anataka abembelezwe, hiyo ni chombeza tu anampima boy wake hapo atakua amemmis sana, wanawake tuishi nao kwa akili... Sema tu kanikwaza huo mwandiko[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Hii sms aliyokuandikia haina Afya kabisaa...mkuu tembea na gap...Tafuta hela utakuja nishukuru hapa hapa..sms ina ukakas haswa..she has nothng to loose...!! Sms kama hii nikitumiwa sijibu chochote na namba nafuta hapo hapo..
Mademu flani hivi waswahili sana, hapo hamna mtu! IQ kama yasisimizi!
 
Wanawake ndiyo asili yao mkuu hapo anataka abembelezwe, hiyo ni chombeza tu anampima boy wake hapo atakua amemmis sana, wanawake tuishi nao kwa akili... Sema tu kanikwaza huo mwandiko[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ndio asaisiwe sasa..😂😂
 
Kama Ni girl friend mtafute jishushe omba msamaha maisha yaendelee.Kama ni mke mtarajiwa hapo umeingia chakike.Ukimuoa huyo anaweza kununa mwezi mzima huko ndani hamsemeshani.
 
Ukiamua kufanya jambo ambua kwelkwel..c unafanya kwa kujarbu...ingekuwa mimi ndo nitolee ivo..madem wapo wengi sanaa
 
Umesimamia msimamo gani sasa, ila haipendezi kwa mwanaume kuwa na tabia ya kujikausha huku bado unanipenda hiyo pisi
kikuweli me ndio nilimkosea ila niliomba radhi kwa hilo, sasa sijui anataka niendelee kuomba radhi.
bahati mbaya me ni type ya wale watu tusiojua kumbeleza.
 
Back
Top Bottom