Kunguru wa Manzese
JF-Expert Member
- Apr 20, 2016
- 12,729
- 18,119
Mwanaume kuwa na mwanamke mmoja ni ulemavu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanawake ndiyo asili yao mkuu hapo anataka abembelezwe, hiyo ni chombeza tu anampima boy wake hapo atakua amemmis sana, wanawake tuishi nao kwa akili... Sema tu kanikwaza huo mwandiko[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Eti ukitaka utanitafuta na usipotaka sawa!!! Naona wa kufua amepatikana.. [emoji23][emoji23][emoji23] upuuzi tuu...kwa hyo miaka yote alikuwa anafua yy...?? Nakuzaba na block la hatari..!!!
Mademu flani hivi waswahili sana, hapo hamna mtu! IQ kama yasisimizi!Hii sms aliyokuandikia haina Afya kabisaa...mkuu tembea na gap...Tafuta hela utakuja nishukuru hapa hapa..sms ina ukakas haswa..she has nothng to loose...!! Sms kama hii nikitumiwa sijibu chochote na namba nafuta hapo hapo..
Hii ni lugha gani??
Ndio asaisiwe sasa..😂😂Wanawake ndiyo asili yao mkuu hapo anataka abembelezwe, hiyo ni chombeza tu anampima boy wake hapo atakua amemmis sana, wanawake tuishi nao kwa akili... Sema tu kanikwaza huo mwandiko[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kilatini...Hii ni lugha gani??
Una uhakika ni Girlfriend wako?
Lugha gani hii?
Ulibip ukapigiwa hakupendiTulikwazana kidogo na my girlfriend nikaamua nikae kimya! Nashangaa naye yupo kimyaa siku ya 3 ina isha leo hivi kuna upendo hapo [emoji849][emoji849][emoji849]
Nilitegemea atanitafuta ataomba msamaha lakini kaamua naye kukausha kama mimi.
kikuweli me ndio nilimkosea ila niliomba radhi kwa hilo, sasa sijui anataka niendelee kuomba radhi.Umesimamia msimamo gani sasa, ila haipendezi kwa mwanaume kuwa na tabia ya kujikausha huku bado unanipenda hiyo pisi
plan B na C muhimu mkuu.😅😅😅😅 hivi unakuaga na Plan B ya kuzugazuga mkuu?
[emoji23][emoji23]Mademu flani hivi waswahili sana, hapo hamna mtu! IQ kama yasisimizi!