Amenikosea badala ya kuniomba msamaha kakaa kimya tu

Amenikosea badala ya kuniomba msamaha kakaa kimya tu

Tafuta mbususu nyingine kama Kakose na hataki kuomba msamaha mi mwenzio wangu tumezinguana nimemuwashia moto hapa now ananiomba msamaha furesh tu
Polish_20220621_203111211.jpg
 
Kutomtafuta hata kwa salamu ya kawaida ni kosa na yeye kutoomba msamaha ni kosa. Mmekutana wenye viburi mno badilikeni.
 
Hivi unafikiri yeye hana kazi za kufanya kwamba akuwaze wewe tu kwani wewe MUNGU

mpumzishe mtoto wawatu

Dogo anachohitaji ni kuombwa msamaha tu na Binti ili penzi liendelee kwa amani.....

Sema ni vile hana Kifua,,, siku mbili tu kashakuja kulia lia humu.
 
kikuweli me ndio nilimkosea ila niliomba radhi kwa hilo, sasa sijui anataka niendelee kuomba radhi.
bahati mbaya me ni type ya wale watu tusiojua kumbeleza.
Ni marufuku mwanaume kuomba radhi zaidi ya mara mbili, itoshe kusema samahani mara 2 tu, kama mwanamke hawezi kukusamehe endelea na ishu zako, mwanaume ukiomba msamaha mwanamke anatakiwa akuheshimu sana sasa shida yao ndiyo wanataka kutumia hiyo gia kukupanda kichwani
 
Unaweza ukawa unampenda mtu ila ukachoka mambo yake,inaonekana una utoto mwingi mpaka amekuchoka
 
Tulikwazana kidogo na my girlfriend nikaamua nikae kimya! Nashangaa naye yupo kimyaa siku ya 3 ina isha leo hivi kuna upendo hapo [emoji849][emoji849][emoji849]

Nilitegemea atanitafuta ataomba msamaha lakini kaamua naye kukausha kama mimi.

...Labda wewe ndio umekosea...na yeye alikuwa anabiri.wewe ndio uombe Msamaha...!
 
Tulikwazana kidogo na my girlfriend nikaamua nikae kimya! Nashangaa naye yupo kimyaa siku ya 3 ina isha leo hivi kuna upendo hapo [emoji849][emoji849][emoji849]

Nilitegemea atanitafuta ataomba msamaha lakini kaamua naye kukausha kama mimi.

Ongeza siku 6
 
Ni hile pisi yako amabayo haieleweki, leo imekuomba msamaha [emoji23][emoji23]
Yeah mkuu wangu [emoji23][emoji23][emoji23]
Leo imenipigia ikawa inalalamika tena nikaizingua kuwa sipend hizo mambo ndo ikawa inaniomba msamaha sasa kaisha teali nilishawaahidi weekend haifiki mkuu
 
Yeah mkuu wangu [emoji23][emoji23][emoji23]
Leo imenipigia ikawa inalalamika tena nikaizingua kuwa sipend hizo mambo ndo ikawa inaniomba msamaha sasa kaisha teali nilishawaahidi weekend haifiki mkuu

Sawa umekaza kitaeleweka tu
 
Ukiwa bado unampenda na huwezi kumsahau kirahisi,mtafute ongea nae kwa utulivu kisha mwambie,kutoka na changamoto zilizo jitokeza dhidi yetu naomba tuziondoe

Kama ana nia njema na hayo mahusiano atakuelewa na mtarudi kwenye mahusiano mazuri

Jaribu kuisikiliza nafsi yako inataka nini,hata kama yeye ndie mkosefu
 
Ukiwa bado unampenda na huwezi kumsahau kirahisi,mtafute ongea nae kwa utulivu kisha mwambie,kutoka na changamoto zilizo jitokeza dhidi yetu naomba tuziondoe

Kama ana nia njema na hayo mahusiano atakuelewa na mtarudi kwenye mahusiano mazuri

Jaribu kuisikiliza nafsi yako inataka nini,hata kama yeye ndie mkosefu
Kwakweli yaishe tu
 
Back
Top Bottom