Leejay49
JF-Expert Member
- Feb 10, 2023
- 16,388
- 51,970
sawasawa mwambaMwamba kama mwamba mfano mwamba geu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
sawasawa mwambaMwamba kama mwamba mfano mwamba geu
Aahahàaaa,*****Salaam!
Katika kusaka faraja murua, juzi kati nilikutana na mdada mmoja hivi murua kabisa. Zoezi la kubadilishana namba likaenda vizuri.
Leo asubuhi na mapema kaniomba hela ya chai; nami, kwa kuzingatia bei halisi ya maandazi huku kijijini ambayo ni tshs 100, nikamrushia buku na mia mbili ya kutolea. Nilifanya hivyo nikiamini kuwa maandazi saba na kikombe cha chai atapata.
Ajabu ni kuwa alipopokea aliniuliza kama mara tatu hivi kuwa nimemtumia au la. Nilipomwambia kuwa ndiyo nimemtumia 1,200 ili apate buku ya chai, hajajibu chochote na hapokei simu mpaka muda huu. Nikafikiri labda amepatwa na ugonjwa kumbe taarifa za kiintelejinsia zinasema ni mzima wa afya tu.
Kuna nini hapa?!!!
dah 🤣 🤣 🤣Salaam!
Katika kusaka faraja murua, juzi kati nilikutana na mdada mmoja hivi murua kabisa. Zoezi la kubadilishana namba likaenda vizuri.
Leo asubuhi na mapema kaniomba hela ya chai; nami, kwa kuzingatia bei halisi ya maandazi huku kijijini ambayo ni tshs 100, nikamrushia buku na mia mbili ya kutolea. Nilifanya hivyo nikiamini kuwa maandazi saba na kikombe cha chai atapata.
Ajabu ni kuwa alipopokea aliniuliza kama mara tatu hivi kuwa nimemtumia au la. Nilipomwambia kuwa ndiyo nimemtumia 1,200 ili apate buku ya chai, hajajibu chochote na hapokei simu mpaka muda huu. Nikafikiri labda amepatwa na ugonjwa kumbe taarifa za kiintelejinsia zinasema ni mzima wa afya tu.
Kuna nini hapa?!!!
Wewe mama j alikikulilia tu unaacha kodi ya meza,Kutana na mkurugenzi wa uwabata upate somo[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Ukalipia Bei Elekezi kizalendo Kabisa
Dada unachekaga kumbe...Umejua kunivunja mbavu lakini upo sahihi sijui kwanini bibie amekasirika [emoji23][emoji23][emoji23][emoji119]
Then tafuta choka wenzako muwe mnatiana kizamuzamu, uchi wa mwanamke msahau, hakuna uchi wa mazoezi mjini.[emoji28][emoji28] hiyo kubwa wengine hata buku kutoka ngumu kwa usawa huu.
Mwananyamala uchi zipo tu hata kwa 500Then tafuta choka wenzako muwe mnatiana kizamuzamu, uchi wa mwanamke msahau, hakuna uchi wa mazoezi mjini.
Asante kwa kunikasifu choka mbaya nimekubali choka mbaya na Sina utajiri Wala chochote Ila karibu nyumbani kwangu uone uchoka mbaya wangu kwa karibu nasio kuongea usichokiona na Wala sijisikii kujibizana na wewe Ila rekebisha kauli zako.Then tafuta choka wenzako muwe mnatiana kizamuzamu, uchi wa mwanamke msahau, hakuna uchi wa mazoezi mjini.
Kasaminisha elfu moja na mwili wake, kwakifupi ana jiuza, angekuwa mwanamke mwenye maadili angeshukuru kwa kidogo alicho pewa.Salaam!
Katika kusaka faraja murua, juzi kati nilikutana na mdada mmoja hivi murua kabisa. Zoezi la kubadilishana namba likaenda vizuri.
Leo asubuhi na mapema kaniomba hela ya chai; nami, kwa kuzingatia bei halisi ya maandazi huku kijijini ambayo ni tshs 100, nikamrushia buku na mia mbili ya kutolea. Nilifanya hivyo nikiamini kuwa maandazi saba na kikombe cha chai atapata.
Ajabu ni kuwa alipopokea aliniuliza kama mara tatu hivi kuwa nimemtumia au la. Nilipomwambia kuwa ndiyo nimemtumia 1,200 ili apate buku ya chai, hajajibu chochote na hapokei simu mpaka muda huu. Nikafikiri labda amepatwa na ugonjwa kumbe taarifa za kiintelejinsia zinasema ni mzima wa afya tu.
Kuna nini hapa?!!!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23],mkuu wewe ni hatari,hutaki ujingaSalaam!
Katika kusaka faraja murua, juzi kati nilikutana na mdada mmoja hivi murua kabisa. Zoezi la kubadilishana namba likaenda vizuri.
Leo asubuhi na mapema kaniomba hela ya chai; nami, kwa kuzingatia bei halisi ya maandazi huku kijijini ambayo ni tshs 100, nikamrushia buku na mia mbili ya kutolea. Nilifanya hivyo nikiamini kuwa maandazi saba na kikombe cha chai atapata.
Ajabu ni kuwa alipopokea aliniuliza kama mara tatu hivi kuwa nimemtumia au la. Nilipomwambia kuwa ndiyo nimemtumia 1,200 ili apate buku ya chai, hajajibu chochote na hapokei simu mpaka muda huu. Nikafikiri labda amepatwa na ugonjwa kumbe taarifa za kiintelejinsia zinasema ni mzima wa afya tu.
Kuna nini hapa?!!!
We jamaa ni katili sana. Wewe bregedia jenero[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Salaam!
Katika kusaka faraja murua, juzi kati nilikutana na mdada mmoja hivi murua kabisa. Zoezi la kubadilishana namba likaenda vizuri.
Leo asubuhi na mapema kaniomba hela ya chai; nami, kwa kuzingatia bei halisi ya maandazi huku kijijini ambayo ni tshs 100, nikamrushia buku na mia mbili ya kutolea. Nilifanya hivyo nikiamini kuwa maandazi saba na kikombe cha chai atapata.
Ajabu ni kuwa alipopokea aliniuliza kama mara tatu hivi kuwa nimemtumia au la. Nilipomwambia kuwa ndiyo nimemtumia 1,200 ili apate buku ya chai, hajajibu chochote na hapokei simu mpaka muda huu. Nikafikiri labda amepatwa na ugonjwa kumbe taarifa za kiintelejinsia zinasema ni mzima wa afya tu.
Kuna nini hapa?!!!