Ivan Stepanov
JF-Expert Member
- Apr 22, 2023
- 6,799
- 22,209
WhoWeBe naomba mwongozo hapa kwa sisi tulioko mjini bei ya soko inasemaje kulingana na taarifa za kiitelijensia?Naomba hela ya breakfast
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
WhoWeBe naomba mwongozo hapa kwa sisi tulioko mjini bei ya soko inasemaje kulingana na taarifa za kiitelijensia?Naomba hela ya breakfast
Maandazi 7 na wewe utamaliza?Naomba hela ya breakfast
mwache afe na upwiru wake😂😂😂Useless boyfriend atakaa single hadi akome
[emoji23][emoji23][emoji23]Salaam!
Katika kusaka faraja murua, juzi kati nilikutana na mdada mmoja hivi murua kabisa. Zoezi la kubadilishana namba likaenda vizuri.
Leo asubuhi na mapema kaniomba hela ya chai; nami, kwa kuzingatia bei halisi ya maandazi huku kijijini ambayo ni tshs 100, nikamrushia buku na mia mbili ya kutolea. Nilifanya hivyo nikiamini kuwa maandazi saba na kikombe cha chai atapata.
Ajabu ni kuwa alipopokea aliniuliza kama mara tatu hivi kuwa nimemtumia au la. Nilipomwambia kuwa ndiyo nimemtumia 1,200 ili apate buku ya chai, hajajibu chochote na hapokei simu mpaka muda huu. Nikafikiri labda amepatwa na ugonjwa kumbe taarifa za kiintelejinsia zinasema ni mzima wa afya tu.
Kuna nini hapa?!!!
Relationship intelligence ni muhim sana.eti kulingana na taarifa za kiintelijensia ila nyie watu hapana 😂😂😂🙌
Yah..utaniharibia aisee..sawa nmekuelewa 😃😃😃😃
sawa bhana 😊🤗Relationship intelligence ni muhim sana.
Mi nakula 15Maandazi 7 na wewe utamaliza?
sawasawa nimekuelewa mkuu, kwenye hilo ondoa shaka kabisaa 😊Yah..utaniharibia aisee..
Au utanifikira niki gonga mwamba huku??sawasawa nimekuelewa mkuu, kwenye hilo ondoa shaka kabisaa 😊
maandazi waachie wengine.. wewe soft soft kula vitu lain lain..mayai mayai eeh!!.chapati za maji hiv yan vitu soft usiwe kama hawa mabint wa Chuga... usije ukaumiza utumbo bure.Mi nakula 15
huwezi kugonga mwamba 😊🤗Au utanifikira niki gonga mwamba huku??
Sio kuugonga hivyo hapana mkuu.. kwan sijipendi mpaka niamue kugonga mwamba??huwezi kugonga mwamba 😊🤗
ulikua unamaanisha mwamba gani mkuu😳😳Sio kuugonga hivyo hapana mkuu.. kwan sijipendi mpaka niamue kugonga mwamba??
Mwamba kama mwamba mfano mwamba geuulikua unamaanisha mwamba gani mkuu😳😳
😀😀😀😀😀😀😀sishibimaandazi waachie wengine.. wewe soft soft kula vitu lain lain..mayai mayai eeh!!.chapati za maji hiv yan vitu soft usiwe kama hawa mabint wa Chuga... usije ukaumiza utumbo bure.
Nitatuma elf 3 kwa mchanganuo huu
Egg chop 1 - 1,000/=
Chapat za maji lain 2 - 1,000/=
Maziwa fresh - 500/=
Ya kutolea - 500/=.
JUMLA 3,000/=.
HIzi ni rate za posta hapa mtaa wa Samora opposite na NBC bank