Ameniomba hela ya chai; nimemrushia buku na 200 ya kutolea amekasirika!

AahahΓ aaa,*****

Watu wakuda
 
dah 🀣 🀣 🀣
 
Then tafuta choka wenzako muwe mnatiana kizamuzamu, uchi wa mwanamke msahau, hakuna uchi wa mazoezi mjini.
Asante kwa kunikasifu choka mbaya nimekubali choka mbaya na Sina utajiri Wala chochote Ila karibu nyumbani kwangu uone uchoka mbaya wangu kwa karibu nasio kuongea usichokiona na Wala sijisikii kujibizana na wewe Ila rekebisha kauli zako.
 
Kasaminisha elfu moja na mwili wake, kwakifupi ana jiuza, angekuwa mwanamke mwenye maadili angeshukuru kwa kidogo alicho pewa.

Sent from my TECNO BB2 using JamiiForums mobile app
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23],mkuu wewe ni hatari,hutaki ujinga
 
We jamaa ni katili sana. Wewe bregedia jenero[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…