Ameniomba Msamaha lakini ameniwekea Masharti

Ameniomba Msamaha lakini ameniwekea Masharti

Mijitu mijinga mijinga kama wewe na huyo mwanamke wako aisee haiwezi kutia mguu nyumbani labda kama huyo mwanamke hana ndugu wa kiume….yani uwadharirishe watu kiasi hicho mwende malalane weee halafu ndio mnafikiri kuja kuomba msamaha aiseee mimi siwezi shiriki huu ujinga kamwe hata wazazi wakishiriki mimi kamwe sitoshiriki
Chochote
 
Mkuu kuna. watu hawajui kuomba samahani hata kidogo,yani anaona akiomba msamaha ni ujinga ndo type ya huyu Sasa,yani anaona kila a na achofanya yupo sahihi,lakini pengine hata malezi yanachangia,yawwzekana huyu ni wale waliolelewa upande mmoja,sidhani kama angetoka kwenye familia inayoelewka angefanya hivyo,kwani hata wazee wake wangemshauri.
Daah kama ni ivo ako na shida serious sanaa
 
Mijitu mijinga mijinga kama wewe na huyo mwanamke wako aisee haiwezi kutia mguu nyumbani labda kama huyo mwanamke hana ndugu wa kiume….yani uwadharirishe watu kiasi hicho mwende malalane weee halafu ndio mnafikiri kuja kuomba msamaha aiseee mimi siwezi shiriki huu ujinga kamwe hata wazazi wakishiriki mimi kamwe sitoshiriki
Chochote
Hahahhahahaha...punguza hasira
 
Jamaa ulichemka Sana

We endekeza tu maneno ya watu kukataa ndoa na kuleta ujana. Kitu unasahau ni kuwa Hao unaowaona marafiki zako leo hutakuja kuwaona kesho ukiwa unaumwa unavaa pampers.

Ujana huwa unawasumbua Sana, stori nyingiiiii ila hamjui ya mbele yenu.

Wewe ulijitolea kuacha kutoa mahali na kujenga familia yako ambayo kimsingi ndio rafiki wako wa kweli na kumsaidia mshkaji, subiri sasa utakuja kuona Nani Atakuwa upande wako katika maisha yako.
mimi nilimwambia anajikuta ana mapenzi ya kweli kwa rafiki yake wakati mtoto wa watu kadoda hapo kumsubiri miaka kibao amlipie mahariii... anyway naona demu hana soko ndo maana mwana anaaamua kumchezea akili tu na jamaa hana mpango na huyu demu.
 
mimi nilimwambia anajikuta ana mapenzi ya kweli kwa rafiki yake wakati mtoto wa watu kadoda hapo kumsubiri miaka kibao amlipie mahariii... anyway naona demu hana soko ndo maana mwana anaaamua kumchezea akili tu na jamaa hana mpango na huyu demu.
Ngoja siku akipigwa tukio atamkumbuka huyu Dada
 
Mijitu mijinga mijinga kama wewe na huyo mwanamke wako aisee haiwezi kutia mguu nyumbani labda kama huyo mwanamke hana ndugu wa kiume….yani uwadharirishe watu kiasi hicho mwende malalane weee halafu ndio mnafikiri kuja kuomba msamaha aiseee mimi siwezi shiriki huu ujinga kamwe hata wazazi wakishiriki mimi kamwe sitoshiriki
Chochote
mwanamke hana chaguo yani itakuwa umrii umeenda sanaa... OPTION ANAYOSTAHILI JAMAA NI KWENDA KUTOA MAHARI bhasi... sio huu upuuzi wa kwenda kuchosha wa wazazi na misamahaa ya kisengeremaaa ufalaa tu.
 
Hata ndoa inaweza kuvunjwa ikiwa kuna tatizo au kosa kubwa limefanyika.

Kuvunja uchumba sio tatizo wala kuvunja ndoa sio tatizo.

Watu wenye Akili zao humu wanashangaa sababu za kuvunja huo uchumba mliodumu nao Kwa muda mrefu. Yaani sababu ya kuvunja huo uchumba uliyoitoa haina kichwa wala miguu.

Kosa umefanya wewe,
Bado mtoto wawatu kajishisha kakuomba Radhi licha ya kumkosea, kumdhalilisha na kumtia aibu, lakini wewe bado Kwa Akili yako ndogo huoni kwamba wewe ndio unashida.

Kama ulikuwa haumpendi na haujafanya maamuzi ya kumpenda, huo muda uliompotezea huoni umefanya dhulma?

Alafu Wanawake wakiwazingua mnaanza kupiga mayowe kuwa Wanawake ni wabinafsi,
Kuna ubinafsi zaidi ya huo ulioufanya?

Hapa tunajadili, najua inaweza kuwa ni Stori tuu uliyoileta, sidhani MTU mwenye Akili anaweza kufanya hivyo. Labda punguani
Pole,umeongea kwa hisia sana mkuu
 
Hata ndoa inaweza kuvunjwa ikiwa kuna tatizo au kosa kubwa limefanyika.

Kuvunja uchumba sio tatizo wala kuvunja ndoa sio tatizo.

Watu wenye Akili zao humu wanashangaa sababu za kuvunja huo uchumba mliodumu nao Kwa muda mrefu. Yaani sababu ya kuvunja huo uchumba uliyoitoa haina kichwa wala miguu.

Kosa umefanya wewe,
Bado mtoto wawatu kajishisha kakuomba Radhi licha ya kumkosea, kumdhalilisha na kumtia aibu, lakini wewe bado Kwa Akili yako ndogo huoni kwamba wewe ndio unashida.

Kama ulikuwa haumpendi na haujafanya maamuzi ya kumpenda, huo muda uliompotezea huoni umefanya dhulma?

Alafu Wanawake wakiwazingua mnaanza kupiga mayowe kuwa Wanawake ni wabinafsi,
Kuna ubinafsi zaidi ya huo ulioufanya?

Hapa tunajadili, najua inaweza kuwa ni Stori tuu uliyoileta, sidhani MTU mwenye Akili anaweza kufanya hivyo. Labda punguani
Mkuu wapo,tena la huyo mbona dogo
 
Ndugu katika Jf.
Nikiwa kama mwanamke ninayejua ni namna gani jamii inacheka wanawake pale mchumba anapotokomea kusipo julikana au maarufu kama kuingia mitini, kauli ya binti ya TUACHANE ilikuwa ni njia ya kum pressurize huyo mwanaume aachane na hizo plan za rafiki yake na astick kwenye original plan ya kwenda kumtolea hiyo mahari.

Kauli ya tuachane kwa wakati huo haikuwa inamaanisha tuachane ila ilitumika kama silaha ya mwisho ya kujaribu kumrudisha mwanaume kwenye akili zake.
Shukran mkuu
 
Ni SAHIHI Fanya hivyo maana ulishaahiidi utatoa mahari muda Fulani alafu ukachelewesha ila uwe na mahari mkononi unapofanya hivyo.
 
Ila wewe mbona ishu yako ndogo ..mimi kuna mwana yeye sio tu aliahirisha ila hata manzi ake hakumwambia..Kikeni huko wamejiandaaa kishenzi mavyakula na vilaji kama unavyojua wachaga!.. e bwana eeh!!. Mshkaji hakutokea kabisaaaaaa wala manzi ake hakumwambia kitu yan ilikua bonge la soo na aibu kwa dem..ndugu jamaa walishajaa kupokea mahali na kumwona jamaa ila ikawa tee!!.

Wanawake sas wasivyo na akil wakat mwingine, manzi aliporud dar wakaendelea kuishi na mshkaji..sijui waliyamaliza vp? [emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji1787][emoji1787] daah! Mwana alizingua bigtime
 
Hujanikandia, unaeleza mtazamo wako, ambao, kwa namna yoyote si sheria kwangu wala jinsi nilivyo. Utabaki kuwa mtazamo wako. Uhalisia uko hivi, akili yangu nii komavu sana. Leo yangu na kesho yangu imeshabarikiwa sana kiasi nisichoweza kueleza. Siombi msamaha kwa jambo mtu analolisababisha mwenyewe. Ninawajibiika kuomba msamaha kwa kile nilichokisababisha mimi. Ukinielewa vibaya ukafanya maamzi mabaya na ukategemea mimi nikuombe msamaha, haitaweza kutokea. I have to close this case. Sitaomba msamaha na yeye asubuhi hii namjulisha kwamba sitaweza kuendelea na hayo mahusiano. Tuendelee kushauriana kwa manufaa ya wengine pia.
Hope wewe ni mhaya labda, au kabila lolote la kanda ya ziwa, unatabia ya kujisikia, kujiona sio mkosaji lakini umefanya vizuri kuvunja hayo mahusiano Acha huyu binti aumie lakini kesho yake iwe bora.

Yaani inavyoonekana hayo mahusiano ilikua kama hisani kwa binti, kiukweli hukumpenda binti unajibu kama unawakomesha uliowaomba USHAURI lakini jikague hauko sawa.

Uliandika thread hii kwa ajili ya nini? Kutaka kusikia kile unapenda!!!? Au ulichokua umepanga??? Yes ulikosea kutokutoa taarifa kwa wazazi wa huyo binti baada ya kupata hiyo dharura, na jambo jema kwa mngwana ilikua ni kuomba msamaha full stop.

Imagine binti yako apate mchumba ipangwe tarehe ya kutoa mahali then kimya harafu hakuna hata neno samahani huyo mtu utamwonaje???! ! Kila la kheri kwa safari yako mpya ila Acha kujikweza.
 
Jamaa ulichemka Sana

We endekeza tu maneno ya watu kukataa ndoa na kuleta ujana. Kitu unasahau ni kuwa Hao unaowaona marafiki zako leo hutakuja kuwaona kesho ukiwa unaumwa unavaa pampers.

Ujana huwa unawasumbua Sana, stori nyingiiiii ila hamjui ya mbele yenu.

Wewe ulijitolea kuacha kutoa mahali na kujenga familia yako ambayo kimsingi ndio rafiki wako wa kweli na kumsaidia mshkaji, subiri sasa utakuja kuona Nani Atakuwa upande wako katika maisha yako.
WANAUME NAWAITA MSOME HAPA NA MUELEWE
 
Back
Top Bottom