witnessj
JF-Expert Member
- Mar 22, 2015
- 28,704
- 47,260
Usengee huu sasa..both of youAmeomba msamaha ila anataka na mimi nikaombe msamaha nyumbani kwao baada ya kuahirisha kupeleka mahari hapo awali.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Usengee huu sasa..both of youAmeomba msamaha ila anataka na mimi nikaombe msamaha nyumbani kwao baada ya kuahirisha kupeleka mahari hapo awali.
Chunga huo mdomo Wii😅Usengee huu sasa..both of you
Mambo ya [emoji304]Yaan rafiki ana umuhimu kuliko mim
Vijana wanadanganyana sana sanaPatriot3
HIvi unaona ni sahihi kuahidi na kutoa tarehe ya kulipa mahari...halafu upate dharura na usipileke taarifa kuwa hamtakuja kwasababu mmepata dharura?
Hii ni sawa?
Alipaswa aombe ahirisho.
Lakini jamaa badala ya kuomba kusogeza mbele alikuja kuanzusha uzi jf kama vile ufahari flani...tusifagilie ujinga huu wakuu wangu...tuwe wanyenyekevu dunia ni katili sana ikianza kukulipa kisasi...wanaita karma
HawaaminikiMambo ya [emoji304]
Idiot!Naheshimu sana michango yenu na napenda kuishia hapa. Kwangu mimi, kuwajali watu wengine walio katika shida ambazo ninazimudu ni ibada kwangu. Ndoa ikishindikana leo, itafanyika kesho. Kama si kwa huyu basi ni kwa mtu mwingine. Sina shaka! huyu mahusiano yetu hayatakuwepo tena. Nimeyavunja rasmi this morning. Nitajipa nafasi, si kwa lengo la kukua maana nimekua na akili imekomaa haswa. Imani yangu ni kwamba nitakutana na mtu mwenye mtazamo ule ninaoutaka, ikitokea hajapatikana wala hakuna shida. Ninaishi na nitaishi kwa kuwajalii wengine.
Take this, "uchumba si ndoa". Ahadi ni makubaliano yanaweza yasiwe na certification pia kwahiyo yanaweza kuvunjika.😂😂😂
Kusaidia Watu bila Akili nako ni upunguani.
Ndio maana Manzoni nikakuambia wewe bado haujakua Kiakili, ndio maana hata hujui maana ya Familia.
Familia ndio kitu cha Kwanza Kwa mwanaume na Mwanamke mwenye utimamu wa Akili.
Huwezi sema unasaidia wengine ATI Kwa kisingizio cha ibada huku ukivunja ahadi na Binti uliyekaa naye kwenye mahusiano muda mrefu.
Unajiangalia wewe pekeako Kwa sababu wewe ni mbinafsi.
Hauangalii ni muda gani umempotezea Binti WA watu tena Bora yeye angekuwa amekukosea Ila wewe ndio umemkosea,
Yeye kakasirika ndio maana akakumaind lakini Kwa vile wewe unakiburi hukutaka kujishusha na kuomba Radhi.
Ninyi ndio wale wanaume wa humu JF ambao mnapenda muonekano Kwa nje ni Wema Kwa kuwajali watu wa nje(marafiki ikiwemo wa JF) Kwa kujifanya mnamichango ya kistaarabu kumbe ndani ni Mbwa mwitu.
Si unaona, huku unajifanya mstaarabu Sana unapotoa comments zako lakini unayoyafanya Huko kwenye Maisha halisi mfano Kwa hiyo Mchumba wako ni ushenzi uliopitiliza.
Hata kama utaamua ku-move on muombe Msamaha hiyo Mrembo wa Watu, ili uendelee na Maisha yako Kwa Amani.
Kumpotezea mtoto wa Watu muda na kupeana ahadi na viapo kisha kuvivunja Kwa sababu za kijinga ni usaliti wa Hali ya juu.
Na Dawa ya wasaliti inafahamika,
Ni hayo tuu.
[emoji848][emoji848][emoji849] sasa we mambo gani hayaChunga huo mdomo Wii[emoji28]
Idiot!!Idiot!
Life has a funny way of making you deal with what you make other go through.
Siku utampata binti umempenda mnaenda kufunga ndoa umealika ndugu na jamaa na binti hatotokea kanisani. You will someday feel what she felt .
We jamaaa una mambo ya kimaku maku sana asee![emoji848][emoji848]Naheshimu sana michango yenu na napenda kuishia hapa. Kwangu mimi, kuwajali watu wengine walio katika shida ambazo ninazimudu ni ibada kwangu. Ndoa ikishindikana leo, itafanyika kesho. Kama si kwa huyu basi ni kwa mtu mwingine. Sina shaka! huyu mahusiano yetu hayatakuwepo tena. Nimeyavunja rasmi this morning. Nitajipa nafasi, si kwa lengo la kukua maana nimekua na akili imekomaa haswa. Imani yangu ni kwamba nitakutana na mtu mwenye mtazamo ule ninaoutaka, ikitokea hajapatikana wala hakuna shida. Ninaishi na nitaishi kwa kuwajalii wengine.
Kibaka kweli wewe.Idiot!!
Sikiliza rafiki, mahusiano ni makubaliano. Makubaliano yasipkwenda sawa, hayana budi kuvunjika. Tuache mihemko isiyo na tija. Si ugomvi wala hakuna aliemlazimisha mwingine kuingia kwenye shida fulani mpaka tuzungumzie karma.
Jiwe tena hahahaYaani unapanga kupeleka mahari halafu unahairisha na unapoambiwa uombe msamaha unasema unakorogwa kichwa? Dada wa watu kapewa ishara muhimu sana kuwa wewe hufai lakini maskini ameshindwa kuitambua. Wewe huna tofauti na Magufuli kitabia na ndoa yako itakuwa kama ilivyokuwa yake.
Teh teh teh[emoji16][emoji16]Mapenzi mkuu. Husababisha upofu. Majuto ni mjukuu. Ila upo sahihi kabisa. Kuna mwingine namjua aliamua kujilipia mahari mwenyewe. Yaani bwana alikuwa anasuasua (ila walikuwa wanaishi na demu) basi demu akatoa fedha akandaa ndugu wa kule kwa bwana wakapeleka mahari. Mwanaume alikuwa ni mtu wa kujirusha hivi, handsome fulani hivi, demu akakolea mno. ndoa ilifungwa lakini ugomvi ukawa hauishi. Na kila walipokuwa wanagombana jamaa anawaambia marafiki zake, ''kwanza alijioa mwenyewe huyu''.
Take this, "uchumba si ndoa". Ahadi ni makubaliano yanaweza yasiwe na certification pia kwahiyo yanaweza kuvunjika.
Kaza mzeebaba usipelekeshwe weka misimamo mapema😎Miezi michache iliyopita, nilitengana na mwenzi wangu wa muda mrefu baada ya kusitisha kuota mahari nyumbani kwao na kuamua kumsaidia rafiki yangu ambae alikuwa kwenye changamoto fulani za kimaisha.
Nilipomjulisha kwamba nitaahirisha kutoa mahari, hakukubali na aliniomba tuachane. Nilikubali na kumtakia kila la kheri lakini pia nikamsihi kwamba kama atafikiria uamzi wa tofauti basi nitakuwa tayari kumpokea.
Jana alinipigia simu na kuomba msamaha. Alijutia sana, hatimae, nikaamua kumsamehe. Jambo gumu ambalo bado linaniumiza kichwa, ni yeye kutaka mimi niwaombe ndugu zake na wazazi wake msamaha kwa kutokupeleka mahari kwa muda tuliopanga.
Kabla sijatoa maamuzi, naombeni ushauri. Hili jambo ni sawa?
We jamaa utakuwa lihaya nini? Maana haya matabia ndo wanayamilikiIdiot!!
Sikiliza rafiki, mahusiano ni makubaliano. Makubaliano yasipkwenda sawa, hayana budi kuvunjika. Tuache mihemko isiyo na tija. Si ugomvi wala hakuna aliemlazimisha mwingine kuingia kwenye shida fulani mpaka tuzungumzie karma.
Hii ndio sababu kuu inayothibitisha maneno kuwa “usimwamini mwanamke kamwe kamwe”Ila wewe mbona ishu yako ndogo ..mimi kuna mwana yeye sio tu aliahirisha ila hata manzi ake hakumwambia..Kikeni huko wamejiandaaa kishenzi mavyakula na vilaji kama unavyojua wachaga!.. e bwana eeh!!. Mshkaji hakutokea kabisaaaaaa wala manzi ake hakumwambia kitu yan ilikua bonge la soo na aibu kwa dem..ndugu jamaa walishajaa kupokea mahali na kumwona jamaa ila ikawa tee!!.
Wanawake sas wasivyo na akil wakat mwingine, manzi aliporud dar wakaendelea kuishi na mshkaji..sijui waliyamaliza vp? 😂😂😂
Hili sio jukumu lako. Jukumu la Mshenga, tena siku hiyo hiyo ya kupeleka mahali husika, katika mazungumzo ya hapa na pale ya kujiweka sawa kabla ya kukabidhi mahali ndio anaweza chommekea hilo swala.Jambo gumu ambalo bado linaniumiza kichwa, ni yeye kutaka mimi niwaombe ndugu zake na wazazi wake msamaha kwa kutokupeleka mahari kwa muda tuliopanga.
Kuna binadam wengine wana historia ndefu sana katika maisha yetu. Niliamua kumusaidia na sikuona sababu ya huyu mpenzi wangu kupaniki na kuomba tuachane. Leo anaporudi na masharti ya kwamba niombe msamaha nyumbani kwao, naona kama ananikoroga kichwa tu.
Numbisa nyie wanawake ni viumbe vya ajabu sana…yani mwanamke anaweza kukugeuka muda wowote ule! Yani mtu amefanyiwa kitendo kama hicho bado amerudi kwa mwanaume na kuwaacha solemba ndugu zakeIla huyo mwanamke hana akili pamoja na kumuaibisha bado kajileta mfyuu zake