Ndalilo
JF-Expert Member
- Jan 30, 2013
- 3,343
- 7,516
Huu mstari nimeusikia kwenye nyimbo fulaniRoho I radhi mwili dhaifuðŸ˜ðŸ˜ðŸ˜
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huu mstari nimeusikia kwenye nyimbo fulaniRoho I radhi mwili dhaifuðŸ˜ðŸ˜ðŸ˜
😂Jinsia utatuharibua watoto wetu wee kwenye Sanaa na michezo😂😂😂Sio wizara ya jinsia.....
🤣🤣🤣🤣 Gud morning😂Jinsia utatuharibua watoto wetu wee kwenye Sanaa na michezo😂😂😂
I'm doing well🤣🤣🤣🤣 Gud morning
Ah wee mie sio kijana nina 42 naitafuta 43.I'm doing well
Natumain umemshauri vizuri kijana mwenzio
Mdogo mtu tayari ila nimemwambia asimwambie dada yakeWanawake akili zao wanazijua wenyewe,halafu akishapitiwa ataanza kusema yani wanaume wote ni waongo na malaya.Hivi mpk unafikia umri huo huwezi kujua kuwa the more unavyompa mwanaume room ya kuwa karibu na wewe na kukuletea utani kuwa anakutaka hujajua kuwa mwisho wa siku utaingia line,tena kwa picha hii ninavyoiona huyu jamaa atakuja kuwapitia wote mtu na dada yake...
Alikuwa ananionea hurumaUyo dada akapimwe akili kwanza
Mzee wa kupambania kweli umenipambania mkuuNaona kuna shida kwenye kutongoza kwako hasa kwenye kuomba mbunye.
Anadai ana mtu wake lakini akiwa na shida wewe ndio wa kwanza kuombwa msaada unafeli wapi mzee baba. Huo ni uzembe mkuu
Sasa omba mbususu direct usiende indirect akikataa piga chini
Haiwezekani mwanetu unatoa misaada kwa demu halafu hautunukiwi mbunye
Ha ha ha ....blaza umeuaHuo ni mtego,endelea kumganda dada mtu hadi mwisho...umeikaribia Kanaani usijichanganye kama Mussa!
Hahaa sisi wanaume lazima tupambaniane tulisogeze mbele gurudumu hili la kuchakata mbususuMzee wa kupambania kweli umenipambania mkuu
Wakati mwingine ndo nia yao ili wale pesa vzr.Wanawake akili zao wanazijua wenyewe,halafu akishapitiwa ataanza kusema yani wanaume wote ni waongo na malaya.Hivi mpk unafikia umri huo huwezi kujua kuwa the more unavyompa mwanaume room ya kuwa karibu na wewe na kukuletea utani kuwa anakutaka hujajua kuwa mwisho wa siku utaingia line,tena kwa picha hii ninavyoiona huyu jamaa atakuja kuwapitia wote mtu na dada yake...
Naunga mkoja honoooTunakoelekea hii nchi tutabakana si kwavijana sisi
Hii ndo jf mna mambo!Hahaaa