Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Atakupiga kisu kwa kumwibia. Ulijidai kumpenda kumbe ulipenda pesa zake. Post yako inaoinyesha kulikuwa hakuna mapenzi tangu mwanzo. Afadhali hatas uongenyesha ulikuwa unampenda, lakini baada ya kugundua mambo fulani ndiyo ukaona hamuendani. Wewe ilivutiwa na pesa yake, kwa vile umeifaidi na imekufanya umekuwa mtu, sasa unataka kuondoka. Of cause kuondoka kwa mtu usiempenda na halali. Lakini kwa nini ule mali yake tangu mwanzo wakati ulijuwa ni mshamba na ana sura mbovu. Si umchunguze kwanza kabla ya kuanza kumtia hasara? Tena ningekusifu saana kama ungetuambia, mlipokutana ulianza kumchunguza na baada ya kugundua kuwa hamuendani unataka ushauri namna ya kumuacha. Na utujulishe kuwa hakuna pesa uliyomlia, zaidi zile za "out" kama vile lunch, vizawadi vidogo, kukusaidia nauli, au pesa ndogo ndogo hapa na pale, a,mbazo wapenzi hupewa. Lakini unakiri kuwa amekusaidia saana. Ungeaza kukubali misaada yake ya kukuboresha baada ya kuona mnaendani.Sasa anipige kisu kwasabb gani? Anataka ku-force mapenzi, kwani tulizaliwa naye?
Akiondoka na UHAI WAKE?tafuta mwamba mchit akufumanie ndonatakuacha mazima
Mkuu pesa ni pesa tu. Kama unaona ni halali kula pesa za simu, lunch na zawadi nyinginezo ndogo ndogo, kwann isiwe halali kula hela ya gari na nyumba?utujulishe kuwa hakuna pesa uliyomlia, zaidi zile za "out" kama vile lunch, vizawadi vidogo, kukusaidia nauli, au pesa ndogo ndogo hapa na pale, a,mbazo wapenzi hupewa. Lakini unakiri kuwa amekusaidia saana. Ungeaza kukubali misaada yake ya kukuboresha baada ya kuona mnaendani.
Mbona umesema mapenzi hayalazimishwi. Na sasa yeye akiondoka na uhai wako. Kwa kifupi usingekula vya kwake kabla ya kuona kama mnaendana. Hii ya kufumaniwa ni nzuri maana atakuacha amekuacha kwa kukufumania, ambavyo hata wewe ungeweza kufanya hivyo. Au mtafute rafiki yako amdanye ukimkuta naye umsingiozie kumfumania. Maana hii haitamfanya awe na kisasi, ila atalalamika kumuonnea na hatajuwa ulikuwa mpango. Lakini angalia, rafiki yako anmawewza akapenda na kuchukuwa, ujitayarishe kutomchukia wakati yako yakienda vibaya.Akiondoka na UHAI WAKE?
UNASHAURI AU UNAROPOKA TU??
Ushauri konk Sana huuMbona umesema mapenzi hayalazimishwi. Na sasa yeye akiondoka na uhai wako. Kwa kifupi usingekula vya kwake kabla ya kuona kama mnaendana. Hii ya kufumaniwa ni nzuri maana atakuacha amekuacha kwa kukufumania, ambavyo hata wewe ungeweza kufanya hivyo. Au mtafute rafiki yako amdanye ukimkuta naye umsingiozie kumfumania. Maana hii haitamfanya awe na kisasi, ila atalalamika kumuonnea na hatajuwa ulikuwa mpango. Lakini angalia, rafiki yako anmawewza akapenda na kuchukuwa, ujitayarishe kutomchukia wakati yako yakienda vibaya.
Mkuuu ameomba ushauri ssa ww unamuambia atakugundua halafu muda si utakuwa umekwenda mkuuuAta realize but then it will be too late
Mambo vipi kampuni ya seksiii and sekshualidiiNiliwahi kuitolea maelezo account hii. Nikasema Sexless ni account ya taasisi inayojihusisha na mambo ya sex and sexuality. Siyo account ya mtu.
Alimkubalia ili amlie vihela vyake vinavyomuwasha mshkajiKwa nini ulikubali kuwa naye kwenye mahusiano
Anyway. Jamaa akuue tu
Dahh! Ndo umeona cha kumshauri mwenzio hiki?! Wanawake nyie dahh! 😅😅😅🙌🏾tafuta mwamba mchit akufumanie ndonatakuacha mazima
Una akili pana sana! Mwenyezi mungu akubalrikifungu lako lipo sehemu linasubiria anguko lako lipate kuinuka
Basi kumbe nimepoteza muda kusoma na ku-comment uzi wa Choko 😂Huyu ni mwanaume
Kumbe 🤔😂😂😂🙌🏾Huyu choko ni mwanachama wa chadema
Dahh! Tumepoteza muda kusoma uzi wa Shoga 😂😂😂🙌🏾Hii account inamilikiwa na mapepo, muda mwingine pepo jike linapost , muda mwingine pepo dume, ili mradi fujo tu.
Sasa nakubali we ni pelo (SHOGA) 😂😂😂🙌🏾Kwani wewe ni shekhe Yahaya ama prophet Mboro?