Ameota anafanya mapenzi na boss wake wa kike. Je, ina tafsiri gani?

Ameota anafanya mapenzi na boss wake wa kike. Je, ina tafsiri gani?

Pang Fung Mi

JF-Expert Member
Joined
Nov 10, 2022
Posts
6,653
Reaction score
13,919
Shalom,

Naripoti toka Dodoma City

Kisa kiko hivi huyu msela wangu ni mtu smart, mpole, na mwelevu kiasi, elimu yake ya kawaida, hana maneno mengi, anaishi maisha ya kawaida kabisa.

Anasilimulia kuwa ana boss wa kike ofisni na yupo ngazi ya juu kidogo kwa maana sio boss wake wa uwajibikaji wa kila siku.

Siku isiyopangwa wala kutabiriwa mwaka jana kipindi cha kiangazi aliota anafanya mapenzi na huyo boss wa kike ajabu ilienda mbali hadi ishara ya kuzama uvinzani na ndipo mshituko ukatokea, na huyo boss sio mtu wake wa karibu na hana mazoea nae na hajawahi mfikiria kimapenzi.

Katika taswira ya kikazi huyo boss katika jicho la utumishi hana mapenzi na msela na huyo boss ana hulka ya roho mbaya ya kimya kimya. Huu ni mtazamo na ndivyo watu wanamsema hivyo.

Kwanza kabisa huyo boss ameolewa na mtu ambae ni kama ben10 kwenye kila eneo kiumri, kifedha, kielemu na maendeleo yote.

Katika historia ya utumishi wa huyu boss hajawahi kuwa mtu wa karibu wala rafiki au bestii wa msela wangu maana kabla ya hapo huyu mwanamke alihudumu nafasi ya chini kama immediate boss wao kabla hajapanda cheo hivi karibuni.

Zipo tetesi kwa baadhi ya watu kwamba huyu boss ni mtu wa kupuliza ama hutumia ushirikina kupenya njia zake za mafanikio hasa kwa njia ya kutumia nyota za watu.


Hii ndoto imebaki kwenye memory za msela.

Je, hio ndoto inaweza ikawa na maudhui machafu kuhusu msela wangu?

Karibu kwa tafsiri

Wadiz

Cc. Mshana Jr
Cc. Rakims
Cc. Wanajukwaa wote
 
Kuota unafanya mapenzi na mtu haina maana yoyote muhimu uwe umemwaga tu kwa njia halal.

Unaweza kuota unafanya mapenzi na mtu yeyote yule ambae hujamzania wala haitaji uwe na ukalibu au umewahi muwazia kimapenzi.

Ubongo unachofanya unaenda kwenye store ya sula za wanawake 100 inachagua yeyote unamuota.
 
We mwenye we utakuwa na majibu kama umeweza kukariri ndoto ya mtu vipengele vyote mstari kwa mstari kisha ukaleta huku kwanini ukose majibu ya kumwambia rafiki yako(ambaye ni wewe)
Na ajabu mwanaume unaogopa ndoto ya kupiga papuch wengine tulisha malizana na mastaa kibao kupitia ndoto na tumetulia maisha yanasonga.
 
Shalom,

Kisa kiko hivi huyu msela wangu ni mtu smart, mpole, na mwelevu kiasi, elimu yake ya kawaida, hana maneno mengi, anaishi maisha ya kawaida kabisa.

Anasilimulia kuwa ana boss wa kike ofisni na yupo ngazi ya juu kidogo kwa maana sio boss wake wa uwajibikaji wa kila siku.

Siku isiyopangwa wala kutabiriwa mwaka jana kipindi cha kiangazi aliota anafanya mapenzi na huyo boss wa kike ajabu ilienda mbali hadi ishara ya kuzama uvinzani na ndipo mshituko ukatokea, na huyo boss sio mtu wake wa karibu na hana mazoea nae na hajawahi mfikiria kimapenzi.

Katika taswira ya kikazi huyo boss katika jicho la utumishi hana mapenzi na msela na huyo boss ana hulka ya roho mbaya ya kimya kimya. Huu ni mtazamo na ndivyo watu wanamsema hivyo.

Kwanza kabisa huyo boss ameolewa na mtu ambae ni kama ben10 kwenye kila eneo kiumri, kifedha, kielemu na maendeleo yote.

Katika historia ya utumishi wa huyu boss hajawahi kuwa mtu wa karibu wala rafiki au bestii wa msela wangu maana kabla ya hapo huyu mwanamke alihudumu nafasi ya chini kama immediate boss wao kabla hajapanda cheo hivi karibuni.

Zipo tetesi kwa baadhi ya watu kwamba huyu boss ni mtu wa kupuliza ama hutumia ushirikina kupenya njia zake za mafanikio hasa kwa njia ya kutumia nyota za watu.


Hii ndoto imebaki kwenye memory za msela.

Je, hio ndoto inaweza ikawa na maudhui machafu kuhusu msela wangu?

Karibu kwa tafsiri

Wadiz

Cc. Mshana Jr
Cc. Rakims
Cc. Wanajukwaa wote
Mimi nimewai ota nimemuoa HR Ila kiukweli tulikua marafiki na nilikua na muheshimu ila namuona mrembo (namu admire) na alikua anapenda tuwe tunakua pamoja wakati mwingi. Nadhani mazingira yao yanachangia hio ndoto au vile anavomuawazia. Ndoto ha na wigo mpana wakati mwingine unaota yale unayoyawaza au matukio unayofanya mda wako wa kawaida
 
inaonyesha jamaa, kanzimia huyo bosi, ndiyo maana anamuota anafanya nae mapenzi.
 
Huenda anavamiwa na majini mahaba,vingenevyo atakuja kupanda cheo kufikia hiyo nafasi lakini hatatumia njia za halali
 
Back
Top Bottom