Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naotaga kama hivo ujue 😂😂😂we mbon unanchokoza ivi😂😂😂
shukrani mkuu.Huzingatii mipango au malengo yako na kuwa serious nayo kuhakikisha yanakuwa hutulii na Ku focus
Badilika hiyo ndio meseji toka ulimwengu wa roho
labda na lecture wako,,we unabosi wapiNaotaga kama hivo ujue 😂😂😂
Lecture wangu ni wewe kwa somo la.........nzilabda na lecture wako,,we unabosi wapi
😳😳 umetumwaLecture wangu ni wewe kwa somo la.........nzi
Naelewa sasa ety😳😳 umetumwa
usipitulize mipaka ya matani yako,,utanikwazaNaelewa sasa ety
😋😋🙏🙏🙏🙏🙏🙏 Sirudii tena na nimekoma hapa mkuuusipitulize mipaka ya matani yako,,utanikwaza
kabisa usirudie😋😋🙏🙏🙏🙏🙏🙏 Sirudii tena na nimekoma hapa mkuu
Mwisho leo.kabisa usirudie
umeeleweka😌😌Mwisho leo.
Mi binadamu nakosea na nimekubali hvo sirudii tena 🙏🙏🙏🙏
Nadhani kila mtu ana tafsiri na dhana ya Elimu kivyake.Elimu ya kawaida ni elimu Gani?
Haliwezi kuwa swali la dhahabu labda la kipuuzi.Nadhani kila mtu ana tafsiri na dhana ya Elimu kivyake.
Swali la dhahabu; inamsaidia nini mwenyenayo hiyo Elimu?
Nawasilkisha.