Ameota anafanya mapenzi na boss wake wa kike. Je, ina tafsiri gani?

Ameota anafanya mapenzi na boss wake wa kike. Je, ina tafsiri gani?

Sheria za KAZI haziruhusu

Hicho alichoota kibaya maana Yake atafukuzwa KAZI au hatadumu kwenye hiyo ajira
Ni onyo kwake kuwa azingatie KAZI zaidi na Sheria zake ni warning dream toka kwenye ulimwengu WA Roho kabla hakijamkuta kitu kibaya na kupoteza kazi
 
Huenda anavamiwa na majini mahaba,vingenevyo atakuja kupanda cheo kufikia hiyo nafasi lakini hatatumia njia za halali
Hivi Ni Kweli mtu akiota anafanya mapenzi inamaanisha amevamiwa na jini mahaba au Ni porojo?
 
Sheria za KAZI haziruhusu

Hicho alichoota kibaya maana Yake atafukuzwa KAZI au hatadumu kwenye hiyo ajira
Ni onyo kwake kuwa azingatie KAZI zaidi na Sheria zake ni warning dream toka kwenye ulimwengu WA Roho kabla hakijamkuta kitu kibaya na kupoteza kazi
je hii kuota kila mara upo nyumbani au upo na watu wa nyumbani ilihali upo kikazi mkoa tofauti je ina maana gani?
 
Hivi Ni Kweli mtu akiota anafanya mapenzi inamaanisha amevamiwa na jini mahaba au Ni porojo?
Sio kweli nyingi huwa ni warning dream

Ukiota kama hivyo unadanyana na bosi kazini

Rudi Angalia.kwanza mhusika mkuu kwenye hiyo ndoto ni.nani? Unajiona ni wewe ukifurahia kujinoma hadi basi hivyo hiyo ndoto inakuhusu wewe pili jiulize je Sheria za KAZI je zinaruhusu hayo ? Pili je ndicho kilichokupeleka pale kazini?

Ndoto ina maana kuwa pale kazini huna mchango WA maana zaidi ya kufanya vitu vya hovyo.kukojolea kojolea Tu ofisi na KAZI na uchafu wako huna mchango WA maana ofisini zaidi ya kunya kunya na kukojoa kojoa Tu ofisini
 
je hii kuota kila mara upo nyumbani au upo na watu wa nyumbani ilihali upo kikazi mkoa tofauti je ina maana gani?
Huzingatii mipango au malengo yako na kuwa serious nayo kuhakikisha yanakuwa hutulii na Ku focus

Badilika hiyo ndio meseji toka ulimwengu wa roho
 
Shalom,

Kisa kiko hivi huyu msela wangu ni mtu smart, mpole, na mwelevu kiasi, elimu yake ya kawaida, hana maneno mengi, anaishi maisha ya kawaida kabisa.

Anasilimulia kuwa ana boss wa kike ofisni na yupo ngazi ya juu kidogo kwa maana sio boss wake wa uwajibikaji wa kila siku.

Siku isiyopangwa wala kutabiriwa mwaka jana kipindi cha kiangazi aliota anafanya mapenzi na huyo boss wa kike ajabu ilienda mbali hadi ishara ya kuzama uvinzani na ndipo mshituko ukatokea, na huyo boss sio mtu wake wa karibu na hana mazoea nae na hajawahi mfikiria kimapenzi.

Katika taswira ya kikazi huyo boss katika jicho la utumishi hana mapenzi na msela na huyo boss ana hulka ya roho mbaya ya kimya kimya. Huu ni mtazamo na ndivyo watu wanamsema hivyo.

Kwanza kabisa huyo boss ameolewa na mtu ambae ni kama ben10 kwenye kila eneo kiumri, kifedha, kielemu na maendeleo yote.

Katika historia ya utumishi wa huyu boss hajawahi kuwa mtu wa karibu wala rafiki au bestii wa msela wangu maana kabla ya hapo huyu mwanamke alihudumu nafasi ya chini kama immediate boss wao kabla hajapanda cheo hivi karibuni.

Zipo tetesi kwa baadhi ya watu kwamba huyu boss ni mtu wa kupuliza ama hutumia ushirikina kupenya njia zake za mafanikio hasa kwa njia ya kutumia nyota za watu.


Hii ndoto imebaki kwenye memory za msela.

Je, hio ndoto inaweza ikawa na maudhui machafu kuhusu msela wangu?

Karibu kwa tafsiri

Wadiz

Cc. Mshana Jr
Cc. Rakims
Cc. Wanajukwaa wote
Ushauri asiendekeze imani za kishirikina, ndoto hazina maana yoyote, mwisho azidishe maombi kwa kila jaribu liwe linaloonekana ama lisiloonekana

Kuna nguvu kubwa katika maombi, kufunga na sala.

Amtegemee Bwana naye hatomuacha katika majaribu
 
Ushauri asiendekeze imani za kishirikina, ndoto hazina maana yoyote, mwisho azidishe maombi kwa kila jaribu liwe linaloonekana ama lisiloonekana

Kuna nguvu kubwa katika maombi, kufunga na sala.

Amtegemee Bwana naye hatomuacha katika majaribu
Ndoto hazina maana? Usicheze na ndoto Kwenye Biblia Misri ilitajirika na kuwa taifa kubwa Kwa sababu ya ndoto

Mfalme aliota ndoto ngombe Saba wembamba na Saba wanene akapewa tafsiri kuwa kutakuwa na Miaka Saba chakula kitakuwa kingi Sana dunia mzima nunua chakula dunia nzima sababu kitakuwa bei rahisi halafu baada ya hiyo Miaka Saba itakuja njaa Kali dunia nzima Miaka Saba watakuja Misri kununua chakula wauzie bei mbaya na ikawa hivyo Misri ikawa tajiri mno kuliko marekani

Wavumbuzi wengi WA teknolojia huota usiku kama hujui wakiamka wanafanya walichoota waluchosomeshwa ndotoni

Kabla Kulala omba Mungu akupe ndoto nzuri ukiamka ukiifanyia KAZI unatoka kimaisha
 
Back
Top Bottom