Amepata bahati ya mwanaume wa kumuoa, anaweka vikwazo vya mahari na kutambulishana

Amepata bahati ya mwanaume wa kumuoa, anaweka vikwazo vya mahari na kutambulishana

Kaka angu alioa kwa 7 m, endelea kushangaa hiyo 3
Kuna mtu aliwahi kuleta uzi kuwa, fukara aoe fukara mwenzie na kigogo aoe kigogo mwenzie. Ndio maana matajiri hawataki watotp wao waolewe na makapuku. 7m mahari sishangai itakua imefuata utaratibu wa mtoto wa kigogo kuoa mtoto wa kigogo. Ila inavyoonekana mtoa mada anaizungumzia 3m kuwa ni nyingi kwa sababu muoaji kamu evaluate muolewaji na familia yao akaona sio wa 3m ila maringo na kujikweza muolewaji tu.

Wadada unaweza juleleqa vizuri sana na ukawa na maadili bora kabisa ila likija swala la kuolewa wakawa wanakuja wa 1.5m tu na ukawa una wakataa na kujiuliza maswali juu. Jibu ni kwamba, kama familia yenu sio pesa kiasi cha kuwa na interactions na matajiri basi watakuja haohao wa 1.5m kwa sababu ndio mna interact nao kila siku. Japo wapo wachache hubahatika kukutana na wa 4m ila ni wachache. Sasa unaweza kuanza kujilinganisha kwanini flan kaolewa kwa 4m na mm iwe 1.5m? Unasema hapana huyu hanifai hadhi yangu sio hio ngoja nisubili.

Kikubwa iwe 1m au 5m, ndo ni furaha. Kama utaolewa kwa 5m na ukaikosa furaha kwenye ndoa, basi inaweza kuvunjika kwa muda mfupi sana na ukamwacha aliyeolewa kwa 1m akafurahia ndoa yake

KILA MTU ASHINDE MECHI ZAKE
 
Kuna mtu aliwahi kuleta uzi kuwa, fukara aoe fukara mwenzie na kigogo aoe kigogo mwenzie. Ndio maana matajiri hawataki watotp wao waolewe na makapuku. 7m mahari sishangai itakua imefuata utaratibu wa mtoto wa kigogo kuoa mtoto wa kigogo. Ila inavyoonekana mtoa mada anaizungumzia 3m kuwa ni nyingi kwa sababu muoaji kamu evaluate muolewaji na familia yao akaona sio wa 3m ila maringo na kujikweza muolewaji tu.

Wadada unaweza juleleqa vizuri sana na ukawa na maadili bora kabisa ila likija swala la kuolewa wakawa wanakuja wa 1.5m tu na ukawa una wakataa na kujiuliza maswali juu. Jibu ni kwamba, kama familia yenu sio pesa kiasi cha kuwa na interactions na matajiri basi watakuja haohao wa 1.5m kwa sababu ndio mna interact nao kila siku. Japo wapo wachache hubahatika kukutana na wa 4m ila ni wachache. Sasa unaweza kuanza kujilinganisha kwanini flan kaolewa kwa 4m na mm iwe 1.5m? Unasema hapana huyu hanifai hadhi yangu sio hio ngoja nisubili.

Kikubwa iwe 1m au 5m, ndo ni furaha. Kama utaolewa kwa 5m na ukaikosa furaha kwenye ndoa, basi inaweza kuvunjika kwa muda mfupi sana na ukamwacha aliyeolewa kwa 1m akafurahia ndoa yake

KILA MTU ASHINDE MECHI ZAKE
Umemaliza Kila kitu, maelezo mazuri
 
Ndoa ni upendo sio izo kolokolo na milolongo miref hizo NDIO hufelisha watu wenye nia....

Kuna Ile muvi ya 20% FURAHA IPO WAPI
Ile movi ni touching story...

For sure 😃 Nina story ya kusisimua SEMA Tatizo JIDA ntakuja nikipata wasaa am 4 real
Kaka acheni visa, japo mi ni raisi wa ma jobless pro max ila hiyo hela kawaida.
 
Swala la mahali na protocal za kujitambuoisha mbona ni kawaida?
Kuna aina ya mabinti unaweza ukawapanga akawa upande wako na mambo yakawa rahisi
Hilo swala la mahari ninla wazazi na washenga watayajenga yatajengeka
Lakini binti akianza kukuletea mashauzi na masharti mengi kabla ya ndoa na kuonyesha dalili zote za kutokukuhurumia just kwamba lqbda hamjasomana vizuri nahuenda huko mbele akakuchenjia inatakiwa umpqnge apangike wakati mwingine mapenzi ni kudanyanyana na kufanya ulaghai ili upate anachotaka binti lazima awe upande wa maenzake ili amtetee
 
Back
Top Bottom