Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yq zaman muundo mbaya sana i'd rather drive ka crown kuliko hio ni sawa na ile lambo ya mosha😁 ni utahira mtupu ile hela yake bora ninunue range rover kali la mwaka huu tena napata mbiliKuna watu wanaendesha hao wanyama, ingawaje ni wa kuhesabu
View attachment 1740512View attachment 1740511
View attachment 1740515
toleo la zaman sana hii mustangKuna watu wanaendesha hao wanyama, ingawaje ni wa kuhesabu
View attachment 1740512View attachment 1740511
View attachment 1740515
Hii gari ikigongana na Noah hutaamini matokeo yake, utafikiri ni lorry...Wabongo hawayawezi. Cheki hyo 7.2l v8. Sasa si balaa hilo unakua unatembea na kafuso kadogoView attachment 1745283
Kama wazungu wenyeweyana pua ndefu
Hii comment iwe pinned tafadhali.Hii gari ikigongana na Noah hutaamini matokeo yake, utafikiri ni lorry...
Mnyama wa kisela! 💪🏼Hv jamani nilikiwa nauliza hiv american muscle ina bei gani.in tanzania shilings.na je hunu tanzania ipoView attachment 1739891
Usinitoe mbavu! 😂 😂 😂Daah magari ya kwenye movie
Hii minyama inaraha kwenye barabara smooth ambazo traffic ni kidogo basi wateleza tu, huku umewachilia migoma ya 2pac na DMX(RIP) 💪🏼💪🏼💪🏼Kuna watu wanaendesha hao wanyama, ingawaje ni wa kuhesabu
View attachment 1740512View attachment 1740511
View attachment 1740515
Duh, minyama niipendayo 👌1971 Plymouth GTXView attachment 1740513
Bei ya mafuta ndio inatuponda hukuWabongo hawayawezi. Cheki hyo 7.2l v8. Sasa si balaa hilo unakua unatembea na kafuso kadogoView attachment 1745283
Kweli yanadunda in real life.Kuna yale ya dizaini hii yananesa nesa sana huwa nayaona kwenye video za kina Rick ross na wenzake.
Hivi yale huwa ni kweli yanadunda dunda vile? Je wamefunga nin mpaka yanakuwa vile?
Ila life la America bana 😀Kweli yanadunda in real life.
Yale ma Lowriders, have the Hydro's (hydraulics), has a function in raising the car so it doent hit any bumps and make it bounce up n down. Wale jamaa wa hip hop ndio wanapenda ku customize hivyo magari yao.
Jaribu huku kwetu, sivyo utakavyo tafutiwa vijikosa fake na traffic police, utajuta kulifanya hivyo. Hawapendi kuona masela wakila bata! 🤣Ila life la America bana 😀
wivu tuu 😀 ...Jaribu huku kwetu, sivyo utakavyo tafutiwa vijikosa fake na traffic police, utajuta kulifanya hivyo. Hawapendi kuona masela wakila bata! 🤣