Amestaafu na kupewa shilingi milioni mia moja. Anaomba msaada

Kuwakopa yote ni ngumu πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜… ila 20M ningewagaia mpambane
 
Hii hatifungani ni option nzuri zaidi kama una around 100M unapiga life zuri tu
 
Vodacom juzi kati walitangaza hawatatoa gawio la faida kwa maana wamepata hasara. Sasa hizo fixed bank deposits na hati fungani haziwezi kuja kusema maneno kama hayo?
Serikali inakusanya mabilioni kila siku bandarini, manispaa, kodi na kadhalika inashindwaje kukulipa wewe million 1 kila mwezi?
 
Achukue milioni 3 tu awekeze kwenye kilimo cha tikiti. Kila baada ya siku 75 anavuna. Net profit sio chini ya milioni 8 akilima eka 3 (za kuhenyeka hasa)

Faida yake ni kubwa sana akijitoa
Ushauri wa kipuuzi toka thread ianzishwe
 
Kuna ambaye namuona kashanunua iphone macho matatu tayariπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ na anabadili viwalo tu
 
Mbingu ipi?
 
Hao Vanilla international ni swala la Muda tu hata Mr.Kuku alikuja na mbwembwe zote za kujitia ana bima ya kuzuia hasara kwa muwekezaji toka AAR akawaokota maboya wake!
 
Hio vanila si ndio watu wanapigwa.Kilo elf 20 wao wanadai kilo sh laki 5.Wadau humu wamesema hii vanila unachavusha mwenyewe, sasa huyo mstaafu aanze kuvizia chavua badala ya kupumzika.
We umepanda hio vanila utoe ushuhuda.
Vanila Int. ni Mr.Kuku iliochangamka, ni swala la muda kabla ya mvua za nyuzi za Vilio humu πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜… in the same manner as Mr.Ontario the CON GameGenius (CGG)
 
Kanunue bond Bot ndio suluhisho kuu.. Inalipa zaidi.
Kwa bonds za serikali ndio penyewe mfano kwa mtu kama Mwana FA au AY waliopiga 2B unaweza weka moja ikakaa kule ikawa inakupa 15% ya hela kila miezi 6! Ukawa unakunja 150M kila miezi 6 huku biashara zingine zinaendelea tu. Hapa umaskini utausikia kwa majirani tu

Ndio maana wenzetu ulaya ni matajiri tu sababu wana good financial plans!
 
Habari ya asubuhi, naomba tuwasiliane
 
Kama haina cha kufanyia aniazime hapo 10 tu miaka mitatu hela inarudi na 2 zaidi, hii ni kama shukrani
 
Kumbe unajua maisha hayako guarantee na ndiyo maana amewka akiba yake, sasa wewe unataka atapanye acha hizi, pambana na hali yako.
 
Mimi Nina wazo, but mtaji sina, tunaweza ingia makubariano na kunikopesha kiasi cha 2M,hyo pesa yako ukawekeza kwenye wazo langu, na nikawa nakurejeshea pesa yako kwa riba ya asilimia 100%, kama uko tayali naomba tuwasiliane 0622939257, 0717447020, sio ww tu hata kama kuna MTU anahitaji kuingia ubia na mm basi namkaribisha tuyajenge, Niko DSM temeke mtoni kwa azizi Ali
Nb;ukinipa hyo 2M nitakurejeshea 4M kwa muda tutakaokubaliana kufanya hayo marejesho.pia hii njia anaweza itumia kwa mtu yoyote yule muaminifu na ikawa inamzalishia pesa zaidi huku akiwa amestarehe tu.Asante
 
Unauzaga ufuta?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…