Amestaafu na kupewa shilingi milioni mia moja. Anaomba msaada

Amestaafu na kupewa shilingi milioni mia moja. Anaomba msaada

Mama yangu mkubwa amestaafu na kupewa milioni mia moja. Amechukua milioni 20 na kugawia watoto pamoja na kurekebisha nyumba yake kwa maana tayari alikuwa amekwisha jenga. Sasa amebaki na milioni 80 alikuwa anataka kuziweka bank ili asizitumie vibaya.

Alikuwa anataka bank iwe inamlipa kiaso cha 700,000 kila mwisho wa mwezi kutoka katika hiyo milioni 80 yake. Je kuna bank hapa Dar inatoa huduma hiyo. Hataki kufungua biashara nyingine kwa maana tayari anayo mabucha mawili ya nyama Ubungo na Sinza.

Msaada please.
Bank nyingi zinatoa 5.7-6% kwa hicho kiasi kwenye fixed depost.

Dimond Trust Bank wanatoa 5.7% maana yake ni kwamba atapata kwenye 380,000 kwa mwezi.
 
Treasury bonds za miaka 20. Atavuna around milioni 6 kila miezi 6, sawa na milioni kila mwezi.
 
Kuna rafiki yangu nilikua naye gym mzee wao kawaambia wapambane kutafuta vya kwao yeye vya kwake ameshaandikisha kanisa watavichukua.
Ukiona ivo kawasaidia sana aoni muelekeo wao, mfano:Jack chain kamwambia mtoto wake same thing hela zake zinaenda charity sababu kama kashindwa kunitumia akiwa hai hamna tofauti akifa pia, nyuma dogo alikuwa na kesi ya kukutwa na madawa.

Sent from my 601SO using JamiiForums mobile app
 
Mapaka hapo ishaisha ...aamue moja aitupie fixed account kwamwak mmoja apate akili...harafu hao aliowagawia wamlishe nakumvalisha mwakamzima...akili akiendelea kufikilia atafanya nn ,sitaki kuamini endapo kabla haijatoka aliwaza kuwagaia wanae...hawakusoma/hakusomesha!!
 
Mama yangu mkubwa amestaafu na kupewa milioni mia moja. Amechukua milioni 20 na kugawia watoto pamoja na kurekebisha nyumba yake kwa maana tayari alikuwa amekwisha jenga. Sasa amebaki na milioni 80 alikuwa anataka kuziweka bank ili asizitumie vibaya.

Alikuwa anataka bank iwe inamlipa kiaso cha 700,000 kila mwisho wa mwezi kutoka katika hiyo milioni 80 yake. Je kuna bank hapa Dar inatoa huduma hiyo. Hataki kufungua biashara nyingine kwa maana tayari anayo mabucha mawili ya nyama Ubungo na Sinza.

Msaada please.
Huyu bila shaka amefanya kazi kwa uadilifu na uhaminifu kwa miaka zaidi ya 20, naogopa kusema alikua hajapanga nn cha kufanya anastaafu
 
Nyie ndiyo mnao uwa wazee wanu mpate hela yake, Kwanza ushasema anakuwa kwenye age danger zone, hapo anahitaji fedha kuliko kitu kingine, wazee kibao wanaishi maisha mazuri na wanagonga mpaka 90yrs old kama hela ipo.
Aisee kama ndio elimu inatakiwa kutukomboa kwa style hii tuna kazi sana kama taifa yani mzee ata awe na hela kiasi gani mwisho wa siku lazima asurrender kwa mtu au watu anaowaamini lets say mzee kafika umri ata kwenda chooni hawezi au kumbukumbu zinapotea kuna mengi sababu ya umri vitamshinda kufanya the logical behind ni kuwezesha hawa unaowaamini wakusaidie kwenye uzee wako full stop izo nyingine ni mbwembwe tu na uchoyo.

Sent from my 601SO using JamiiForums mobile app
 
Muhimu zaidi, katika marafiki na ndugu zake 1000 ambao hucheka na kufurahi nao pamoja, Basi kwa wakati huu achunguze mmoja tu wa kuwa mshauri wake. Maana sahizi kila mtu atataka kuwa mshauri wake huku wengine wakitazamia faida kupitia yeye.
 
Huyu mama ndio mfano halisi wa wazazi wa kiAfrica yani unataka kufungia 80M as if hauna ndugu na jamaa wanashida husikute ata watoto bado wanaitaji boost kwenye maisha yao. Nimeshindwa kuelewa uelewa wa wazee wetu wa kiAfrica yani huu ubinafsi ndio unaturudisha nyuma sana.

Sent from my 601SO using JamiiForums mobile app
Watafute zao ,alafu hujaelew 20mil kazito kwa wanawe na kidogo kumalizia nyumba yake.maisha ya utumishi yana changamoto ,unataka pesa aibuluze azeeke kwa mateso tena
 
Huyu mama ndio mfano halisi wa wazazi wa kiAfrica yani unataka kufungia 80M as if hauna ndugu na jamaa wanashida husikute ata watoto bado wanaitaji boost kwenye maisha yao. Nimeshindwa kuelewa uelewa wa wazee wetu wa kiAfrica yani huu ubinafsi ndio unaturudisha nyuma sana.

Sent from my 601SO using JamiiForums mobile app
Mimi nimeelewa kitu kimoja. Huyo mama hawezi kuthibiti matumizi yake hivyo anataka kuweka pesa sehemu kisha apewe 700,000 taratibu mpaka siku ikiisha yote.
 
Mama yangu mkubwa amestaafu na kupewa milioni mia moja. Amechukua milioni 20 na kugawia watoto pamoja na kurekebisha nyumba yake kwa maana tayari alikuwa amekwisha jenga. Sasa amebaki na milioni 80 alikuwa anataka kuziweka bank ili asizitumie vibaya.

Alikuwa anataka bank iwe inamlipa kiaso cha 700,000 kila mwisho wa mwezi kutoka katika hiyo milioni 80 yake. Je kuna bank hapa Dar inatoa huduma hiyo. Hataki kufungua biashara nyingine kwa maana tayari anayo mabucha mawili ya nyama Ubungo na Sinza.

Msaada please.
Aende UTT wana issue UTT bond inayolipa 1% kila mwezi - kwahiyo atakuwa anapata zake Milioni moja kila mwezi ..
 
yaniiii ingekuwa ni mimi natia miliinio 80 yote kwenye FX sawa na dollar $40,000 hapo ni mwendo wa kutembea na lot ya 0.50-0.70 yani hata pair iende opposite najua nita hold tu. 😀😀😀😀 yani presha tupa kule... hapo najua pesa haita ni piga chenga kwa mwezi hata M na hivi!!!

ni mwendo wa ku swing miezi na mieziiiii
 
Huyu mama ndio mfano halisi wa wazazi wa kiAfrica yani unataka kufungia 80M as if hauna ndugu na jamaa wanashida husikute ata watoto bado wanaitaji boost kwenye maisha yao. Nimeshindwa kuelewa uelewa wa wazee wetu wa kiAfrica yani huu ubinafsi ndio unaturudisha nyuma sana.

Sent from my 601SO using JamiiForums mobile app
Yaani una-suggest atoe hizo fedha awape watoto, ndugu na jamaa? Unaota wewe.
 
yaniiii ingekuwa ni mimi natia miliinio 80 yote kwenye FX sawa na dollar $40,000 hapo ni mwendo wa kutembea na lot ya 0.50-0.70 yani hata pair iende opposite najua nita hold tu. 😀😀😀😀 yani presha tupa kule... hapo najua pesa haita ni piga chenga kwa mwezi hata M na hivi!!!

ni mwendo wa ku swing miezi na mieziiiii
Kufanya hivyo ukiwa hata na dolar 40 huwezi?

Wazee wa forex bhana..
 
Ficha upumbavu wako, yani mtu pension yake aliyoifanyia kazi kwa tabu ndio aje aigawe kwa watu ambao pengine hawana hata shukrani?halafu aishije maisha yake ya uzeeni?
Asante sana. Huyu jamaa ni mpumbavu aliyepitiliza. Pension ni kwa ajili yake. Watoto etc wana nguvu za kutafuta na wakapata nyingi zaidi. Sidhani kama kuna mzazi mjinga atakayegawa fedha zake za pension kwa watoto. Labda amkopeshe kiasi kidogo...
 
Hujaelewa nilichomaanisha ni asaidie wanaoitaji abakize kitachomsaidia yeye kuliko kuweka hela yote fixed, shekh!!

Sent from my 601SO using JamiiForums mobile app
Hao wanaohitaji hawana mikono ya kufanya kazi? Yeye amesaidiwa? Akiwa mwema sana kama ana watoto wenye mwelekeo mzuri anawakopesha kiasi kidogo sana na anawapa muda wa kurudihsa. BTW mwanzisha thread kasema alitoa milioni ishini akawapa na kukarabati nyumba yake.
 
Kufanya hivyo ukiwa hata na dolar 40 huwezi?

Wazee wa forex bhana..
hapana small capitall ni stress kama umewahiii fanya nahisi una nielewa mkuuu.... tofauti na mtu mwenye mtaji mkubwaaaa.

nikiwa na $40 nikiweka lot ya 0.01 ikienda oposite ni kwa pip 100 hapo nimepoteza tayarii 10$

ila kwa $40000 nikiweka hata mfano lot ya 1 ikienda mia bado niko safe na siina wasiiii.. ni sawa kuchota ndoo kumii baharini
 
Back
Top Bottom