Allen Kilewella
JF-Expert Member
- Sep 30, 2011
- 21,470
- 40,593
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Msigwa anapiga yowe kuwa chadema hali ni mbaya kuliko huko ccm.Alichokisema Tindo ndicho cha kuzingatia wakati wote wa kujadili mambo ya CCM.
Tofauti yake sasa hivi watatoa fomu moja tu ya uraisi, kama ilivyokuwa kwa Magufuli kipindi cha pili,Ulichoandika kingekuwa na ukweli, 2015 rais angekuwa Membe. Huyo ndiye alikuwa chaguo la rais Kikwete, wajumbe wakasema hapana.
Yowe!!??Msigwa anapiga yowe kuwa chadema hali ni mbaya kuliko huko ccm.
Mkuu kuna baadhi ya nyuzi zako sio za kuchukuliwa poa. Hii tunaita ni tip tip tap tip of wat kinaenda kutokea.Ndoto sio lazima itimie lakini hii hata mimi imenishtua sana Hadi jasho limenitoka!
Waambie ukweli Hawa mapimbi hawaelewi chochote!Wakuu
Nilipata wasaa wa kumtembelea kada mkongwe sana wa chama chetu Cha mapinduzi juzi huko isimani mkoani Iringa,tukapata wasaa wa kujadili mawili matatu juu ya mwenendo wa chama chetu kuelekea uchaguzi mkuu 2025!
"Kanuni tulizotumia mwaka 2015 wakati wa uteuzi wa hayati jpm ndizo tutazitumia 2025,uadilifu ndio msingi mkuu wa uteuzi was jina la mgombea wetu na SI vinginevyo!
Ugawaji wa Rushwa ya wazi na kuanza kampeni mapema plus ubadhirifu ndio kanuni pekee itakayotumika siku ya mkutano mkuu"
"Mtajwa ameshaonyesha dalili za kukiuka kanuni ameshagawa rushwa za pikipiki na bajaji zenye majina yake pia ameanza kampeni tangu mwaka 2021 Kwa kutamka hadharani atagombea na ushahidi wa wazi kabisa wa piki piki zenye picha yake ameshagawa hiyo ni rushwa ya uchaguzi na chama kimeamua kumuengua mapema kabisa,Mwambieni asijisumbue kwasababu amejiaharibia sifa zote za utia nia"
Nilipomuuliza kwamba desturi yetu inasema lazima ashike mara mbili na sio moja kwanini asiteuliwe!!?
"Ni Huwa anapewa mara mbili lakini amekiuka kanuni Kwa kutoa rushwa wazi wazi Tena bila kificho hiyo ni kuikosea CCM kama taasisi kongwe hapa nchini"
Bado natafakari Ndoto hii nilioiota usiku wa kuamkia leo!
Tusubiri tuone kitakachojiri 2025!
Utaambiwa tu CCM ni imara inademokrasia inaruhusu mwenye nia achukue fomu. Hili chama liacheni tu. Rejea kauli za Jakaya, huwa zimejaa utata sana zinauma na kupuliza. Leo utaona ni wewe tu, kesho labda labda, 😀😀Tofauti yake sasa hivi watatoa fomu moja tu ya uraisi, kama ilivyokuwa kwa Magufuli kipindi cha pili,
Lakini wakitoa fomu nyingi, Mh Samia atakuwa kwenye kipindi kigumu sana, hasa ikizingatiwa wajumbe wengine wanatoka CCM,
Hapo ndio atajionea rangi halisi ya kina January, Madelu Nchemba, Nape, nawengineo
.Wakuu
Nilipata wasaa wa kumtembelea kada mkongwe sana wa chama chetu Cha mapinduzi juzi huko isimani mkoani Iringa,tukapata wasaa wa kujadili mawili matatu juu ya mwenendo wa chama chetu kuelekea uchaguzi mkuu 2025!
"Kanuni tulizotumia mwaka 2015 wakati wa uteuzi wa hayati jpm ndizo tutazitumia 2025,uadilifu ndio msingi mkuu wa uteuzi was jina la mgombea wetu na SI vinginevyo!
Ugawaji wa Rushwa ya wazi na kuanza kampeni mapema plus ubadhirifu ndio kanuni pekee itakayotumika siku ya mkutano mkuu"
"Mtajwa ameshaonyesha dalili za kukiuka kanuni ameshagawa rushwa za pikipiki na bajaji zenye majina yake pia ameanza kampeni tangu mwaka 2021 Kwa kutamka hadharani atagombea na ushahidi wa wazi kabisa wa piki piki zenye picha yake ameshagawa hiyo ni rushwa ya uchaguzi na chama kimeamua kumuengua mapema kabisa,Mwambieni asijisumbue kwasababu amejiaharibia sifa zote za utia nia"
Nilipomuuliza kwamba desturi yetu inasema lazima ashike mara mbili na sio moja kwanini asiteuliwe!!?
"Ni Huwa anapewa mara mbili lakini amekiuka kanuni Kwa kutoa rushwa wazi wazi Tena bila kificho hiyo ni kuikosea CCM kama taasisi kongwe hapa nchini"
Bado natafakari Ndoto hii nilioiota usiku wa kuamkia leo!
Tusubiri tuone kitakachojiri 2025!
Mama HAJAFELI kabisa. Kwanza yeye ndiye amefanya kazi kubwa ya kumaliza miradi mikubwa. Magufuli alianzisha tu na akafariki akiwa ameacha karibu kila mradi chini ya 36% ukiacha njia 6 za Kimara-Kibaha.Ndoto kivipi wakati umeshatuambia ulipata wasaa wa kumtembelea yule jamaa wa jimboni Isimani, kule Iringa?
Anyway, all in all, huyo mama hafai tena kuwa kiongozi wa hili taifa, ana tuhuma nyingi zisizofaa mtu wa hadhi yake kuwa nazo.
Kuanzia zile za kule X zilizotolewa na Mange, rushwa ya wazi kama ulivyoonesha hapo juu, kushindwa kulinda rasilimali zetu, viburi kwa watendaji wake wanaojiona miungu watu wasiogusika hata wakosee vipi, ufisadi miongoni mwa wasaidizi wake na yeye mwenyewe..
Simply amefeli pakubwa kuliongoza hili taifa, ndio maana awamu hii chawa wana sauti zaidi ya mtawala, hii maana yake mtawala hajitambui, hajui anachofanya, wala hawezi kutolea maelezo tuhuma zinazoikabili serikali yake, anaongoza taifa kwa kubahatisha ameamua kujiita chura.
Hawa wanaimba mapambio ndio hao hao wanaoutaka urais,Utaambiwa tu CCM ni imara inademokrasia inaruhusu mwenye nia achukue fomu. Hili chama liacheni tu. Rejea kauli za Jakaya, huwa zimejaa utata sana zinauma na kupuliza. Leo utaona ni wewe tu, kesho labda labda, 😀😀
Nani kakudanganya CCM inataka watu waadilifu? Hiyo 2015 JPM alichaguliwa sababu ya pressure ya upinzani not necessarily sababu ni msafi. Pia ni incumbent president so fomu itakua moja tu mnamkataje? Then akiondolewa rais fisadi unadhani CCM wanataka rais mkali? Ili waibe wapi?Wakuu
Nilipata wasaa wa kumtembelea kada mkongwe sana wa chama chetu Cha mapinduzi juzi huko isimani mkoani Iringa,tukapata wasaa wa kujadili mawili matatu juu ya mwenendo wa chama chetu kuelekea uchaguzi mkuu 2025!
"Kanuni tulizotumia mwaka 2015 wakati wa uteuzi wa hayati jpm ndizo tutazitumia 2025,uadilifu ndio msingi mkuu wa uteuzi was jina la mgombea wetu na SI vinginevyo!
Ugawaji wa Rushwa ya wazi na kuanza kampeni mapema plus ubadhirifu ndio kanuni pekee itakayotumika siku ya mkutano mkuu"
"Mtajwa ameshaonyesha dalili za kukiuka kanuni ameshagawa rushwa za pikipiki na bajaji zenye majina yake pia ameanza kampeni tangu mwaka 2021 Kwa kutamka hadharani atagombea na ushahidi wa wazi kabisa wa piki piki zenye picha yake ameshagawa hiyo ni rushwa ya uchaguzi na chama kimeamua kumuengua mapema kabisa,Mwambieni asijisumbue kwasababu amejiaharibia sifa zote za utia nia"
Nilipomuuliza kwamba desturi yetu inasema lazima ashike mara mbili na sio moja kwanini asiteuliwe!!?
"Ni Huwa anapewa mara mbili lakini amekiuka kanuni Kwa kutoa rushwa wazi wazi Tena bila kificho hiyo ni kuikosea CCM kama taasisi kongwe hapa nchini"
Bado natafakari Ndoto hii nilioiota usiku wa kuamkia leo!
Tusubiri tuone kitakachojiri 2025!
Nilitaka kuandika ulichoandika. Kwahiyo nakuwa msoma comments tu.Rais nchi hii yuko juu ya hata hao wazee wa ccm. Hakuna uwezo wa kumtoa kwa mizengwe maana ccm yote kama chama inategemea madaraka hayo ya urais kubaki madarakani.
Yes.Yowe!!??
🤝🤝🕶️Ila kiukweli amewatia viongozi wa eneo tajwa kwenye msukosuko.
Ni kweli. Samia atapita kwa kishindo, kwasabb anakula na wenzake. Kaacha bucha wazi kila mtu anakata steki kwa ukali wa kisu chake.Ninachokijua mpaka sasa kama Mwenyezi Mungu akimlinda mpaka 2025 , Madam President atapitidhwa kwa kishindo na CCM na atashinda kwa kishindo. Jukumu la CCM ni kulinda legacy ya ushindi ya 2020 na kuweka mpya chini ya Dkt.Samia asiyekubaliana na hilo alambe wembe