"Amevunja kanuni na utaratibu wa chama,hatufai!kamati kuu imeridhia hatoteuliwa kuwa mtia Nia wa urais"!

"Amevunja kanuni na utaratibu wa chama,hatufai!kamati kuu imeridhia hatoteuliwa kuwa mtia Nia wa urais"!

Hivi ataweza kuzunguka nchi nzima kupiga kampeni kweli?
Maana amezoea ughaibuni zaidi, kuja huku vijijini si shidazake kabisa!!!
Asijefosi naye akapata hitilafu kamaile ya umeme ilompata jiwe.... iepushiliwe mbali dah!!!
 
Wakuu

Nilipata wasaa wa kumtembelea kada mkongwe sana wa chama chetu Cha mapinduzi juzi huko isimani mkoani Iringa,tukapata wasaa wa kujadili mawili matatu juu ya mwenendo wa chama chetu kuelekea uchaguzi mkuu 2025!

"Kanuni tulizotumia mwaka 2015 wakati wa uteuzi wa hayati jpm ndizo tutazitumia 2025,uadilifu ndio msingi mkuu wa uteuzi was jina la mgombea wetu na SI vinginevyo!

Ugawaji wa Rushwa ya wazi na kuanza kampeni mapema plus ubadhirifu ndio kanuni pekee itakayotumika siku ya mkutano mkuu"

"Mtajwa ameshaonyesha dalili za kukiuka kanuni ameshagawa rushwa za pikipiki na bajaji zenye majina yake pia ameanza kampeni tangu mwaka 2021 Kwa kutamka hadharani atagombea na ushahidi wa wazi kabisa wa piki piki zenye picha yake ameshagawa hiyo ni rushwa ya uchaguzi na chama kimeamua kumuengua mapema kabisa,Mwambieni asijisumbue kwasababu amejiaharibia sifa zote za utia nia"

Nilipomuuliza kwamba desturi yetu inasema lazima ashike mara mbili na sio moja kwanini asiteuliwe!!?

"Ni Huwa anapewa mara mbili lakini amekiuka kanuni Kwa kutoa rushwa wazi wazi Tena bila kificho hiyo ni kuikosea CCM kama taasisi kongwe hapa nchini"

Bado natafakari Ndoto hii nilioiota usiku wa kuamkia leo!

Tusubiri tuone kitakachojiri 2025!
Ngoja Chawa wa Kizanzibar waje wakupopoe na mawe
 
Wakuu

Nilipata wasaa wa kumtembelea kada mkongwe sana wa chama chetu Cha mapinduzi juzi huko isimani mkoani Iringa,tukapata wasaa wa kujadili mawili matatu juu ya mwenendo wa chama chetu kuelekea uchaguzi mkuu 2025!

"Kanuni tulizotumia mwaka 2015 wakati wa uteuzi wa hayati jpm ndizo tutazitumia 2025,uadilifu ndio msingi mkuu wa uteuzi was jina la mgombea wetu na SI vinginevyo!

Ugawaji wa Rushwa ya wazi na kuanza kampeni mapema plus ubadhirifu ndio kanuni pekee itakayotumika siku ya mkutano mkuu"

"Mtajwa ameshaonyesha dalili za kukiuka kanuni ameshagawa rushwa za pikipiki na bajaji zenye majina yake pia ameanza kampeni tangu mwaka 2021 Kwa kutamka hadharani atagombea na ushahidi wa wazi kabisa wa piki piki zenye picha yake ameshagawa hiyo ni rushwa ya uchaguzi na chama kimeamua kumuengua mapema kabisa,Mwambieni asijisumbue kwasababu amejiaharibia sifa zote za utia nia"

Nilipomuuliza kwamba desturi yetu inasema lazima ashike mara mbili na sio moja kwanini asiteuliwe!!?

"Ni Huwa anapewa mara mbili lakini amekiuka kanuni Kwa kutoa rushwa wazi wazi Tena bila kificho hiyo ni kuikosea CCM kama taasisi kongwe hapa nchini"

Bado natafakari Ndoto hii nilioiota usiku wa kuamkia leo!

Tusubiri tuone kitakachojiri 2025!
KWA KANUNI ZA CHAMA CHETU, VIPINDI VYA URAIS NI VIWILI, HILI HALINA MJADALA, SSH NDIYE MGOMBEA PEKEE KWA CCM 2025, KWA MUJIBU WA TARATIBU ZA KICHAMA, CHADOMO ACHENI KUTOA TETESI ZA KIJINGA KABISA!.
 
Wakuu

Nilipata wasaa wa kumtembelea kada mkongwe sana wa chama chetu Cha mapinduzi juzi huko isimani mkoani Iringa,tukapata wasaa wa kujadili mawili matatu juu ya mwenendo wa chama chetu kuelekea uchaguzi mkuu 2025!

"Kanuni tulizotumia mwaka 2015 wakati wa uteuzi wa hayati jpm ndizo tutazitumia 2025,uadilifu ndio msingi mkuu wa uteuzi was jina la mgombea wetu na SI vinginevyo!

Ugawaji wa Rushwa ya wazi na kuanza kampeni mapema plus ubadhirifu ndio kanuni pekee itakayotumika siku ya mkutano mkuu"

"Mtajwa ameshaonyesha dalili za kukiuka kanuni ameshagawa rushwa za pikipiki na bajaji zenye majina yake pia ameanza kampeni tangu mwaka 2021 Kwa kutamka hadharani atagombea na ushahidi wa wazi kabisa wa piki piki zenye picha yake ameshagawa hiyo ni rushwa ya uchaguzi na chama kimeamua kumuengua mapema kabisa,Mwambieni asijisumbue kwasababu amejiaharibia sifa zote za utia nia"

Nilipomuuliza kwamba desturi yetu inasema lazima ashike mara mbili na sio moja kwanini asiteuliwe!!?

"Ni Huwa anapewa mara mbili lakini amekiuka kanuni Kwa kutoa rushwa wazi wazi Tena bila kificho hiyo ni kuikosea CCM kama taasisi kongwe hapa nchini"

Bado natafakari Ndoto hii nilioiota usiku wa kuamkia leo!

Tusubiri tuone kitakachojiri 2025!
hahahahaah.unachekesha kweli.hivi kuna mtu anaweza kumng'OA mwekiti wa chama ? subutu
 
Wakuu

Nilipata wasaa wa kumtembelea kada mkongwe sana wa chama chetu Cha mapinduzi juzi huko isimani mkoani Iringa,tukapata wasaa wa kujadili mawili matatu juu ya mwenendo wa chama chetu kuelekea uchaguzi mkuu 2025!

"Kanuni tulizotumia mwaka 2015 wakati wa uteuzi wa hayati jpm ndizo tutazitumia 2025,uadilifu ndio msingi mkuu wa uteuzi was jina la mgombea wetu na SI vinginevyo!

Ugawaji wa Rushwa ya wazi na kuanza kampeni mapema plus ubadhirifu ndio kanuni pekee itakayotumika siku ya mkutano mkuu"

"Mtajwa ameshaonyesha dalili za kukiuka kanuni ameshagawa rushwa za pikipiki na bajaji zenye majina yake pia ameanza kampeni tangu mwaka 2021 Kwa kutamka hadharani atagombea na ushahidi wa wazi kabisa wa piki piki zenye picha yake ameshagawa hiyo ni rushwa ya uchaguzi na chama kimeamua kumuengua mapema kabisa,Mwambieni asijisumbue kwasababu amejiaharibia sifa zote za utia nia"

Nilipomuuliza kwamba desturi yetu inasema lazima ashike mara mbili na sio moja kwanini asiteuliwe!!?

"Ni Huwa anapewa mara mbili lakini amekiuka kanuni Kwa kutoa rushwa wazi wazi Tena bila kificho hiyo ni kuikosea CCM kama taasisi kongwe hapa nchini"

Bado natafakari Ndoto hii nilioiota usiku wa kuamkia leo!

Tusubiri tuone kitakachojiri 2025!

Hiyo ni cha mtoto..

Kubwa nI kuwa huyu ni Mzanzibari, raia wa taifa/nchi nyingine..

Tanganyika hatuko tayari kuongozwa na mwanamke na tena raia wa nchi jirani!!!

Nimesema na itakuwa hivyo!
 
Wakuu

Nilipata wasaa wa kumtembelea kada mkongwe sana wa chama chetu Cha mapinduzi juzi huko isimani mkoani Iringa,tukapata wasaa wa kujadili mawili matatu juu ya mwenendo wa chama chetu kuelekea uchaguzi mkuu 2025!

"Kanuni tulizotumia mwaka 2015 wakati wa uteuzi wa hayati jpm ndizo tutazitumia 2025,uadilifu ndio msingi mkuu wa uteuzi was jina la mgombea wetu na SI vinginevyo!

Ugawaji wa Rushwa ya wazi na kuanza kampeni mapema plus ubadhirifu ndio kanuni pekee itakayotumika siku ya mkutano mkuu"

"Mtajwa ameshaonyesha dalili za kukiuka kanuni ameshagawa rushwa za pikipiki na bajaji zenye majina yake pia ameanza kampeni tangu mwaka 2021 Kwa kutamka hadharani atagombea na ushahidi wa wazi kabisa wa piki piki zenye picha yake ameshagawa hiyo ni rushwa ya uchaguzi na chama kimeamua kumuengua mapema kabisa,Mwambieni asijisumbue kwasababu amejiaharibia sifa zote za utia nia"

Nilipomuuliza kwamba desturi yetu inasema lazima ashike mara mbili na sio moja kwanini asiteuliwe!!?

"Ni Huwa anapewa mara mbili lakini amekiuka kanuni Kwa kutoa rushwa wazi wazi Tena bila kificho hiyo ni kuikosea CCM kama taasisi kongwe hapa nchini"

Bado natafakari Ndoto hii nilioiota usiku wa kuamkia leo!

Tusubiri tuone kitakachojiri 2025!
Zile pikipiki zimeandikwa SSH 2025 ni za chama au ni zake binafsi
 
chadema wanacho haha hdi sasa ni kutokana na kwamba huyu mama ndio mwalimu wa demokrasia hadi hawamini macho yao
 
  • Thanks
Reactions: Tui
Back
Top Bottom