"Amevunja kanuni na utaratibu wa chama,hatufai!kamati kuu imeridhia hatoteuliwa kuwa mtia Nia wa urais"!

Rais nchi hii yuko juu ya hata hao wazee wa ccm. Hakuna uwezo wa kumtoa kwa mizengwe maana ccm yote kama chama inategemea madaraka hayo ya urais kubaki madarakani.
Labda wampige bomu la MTWARA. Hata CCM hawamtaki Bi mkubwa but huyo ni wenu. Labda mumpige Moshi wa mtwara km JPM

Mama na jiwe nachagua jiwe
 
Ni kweli anaitaka tano lakini hao anaowaaamrisha wakigoma kuamrishwa itakuaje!? Nawaza TU,hii ni ndoto!
 
Huyo Kada mwenyewe naye anautaka huo Ukubwa, maana hata Mwaka 2015 aligombea ila kura za Wajumbe hazikutosha tu.

Kuna Mipango ya chini Chini kutaka kumuondoa huyo aliyepo, na wakongwe wakiongozwa na huyo uliyemtaja pamoja na yule Profesa wa Jalalani wanaendelea na Mipango ya kumuondoa japo aliyepo ameshakusanya nguvu kubwa ya hela kumsapoti kuelekea 2025, ingawa kwenye majukwaa hana mvuto wa ushawishi.
 
Mkuu wa kamati kuu ni yeye. Sasa kamati kuu ipi? Acha uongo. Magufuli alisema nilimtaka Mwinyi. Msoga et al wakamleta huyu mama for their benefit. Hawatakwepa kwa dhambi hii.
 
Ulivyoingiza mambo ya dini na uwanamke wake nikaishia kusoma hapo, hata sioni sababu ya kukujibu bado upo gizani sana.
 
Chama Cha Mapinduzi hakina moral authority ya kujinasibisha kuwa kinatumia kanuni za uadilifu,katika kupata wagombea wa nafasi mbalimbali za uongozi.Wajinga pekee ndo wataamini huo upumbavu.
 
Wazee walikabidhiwa hii nchi wapo ,na viongozi wa dini wapo Mimi na wewe tupo tunafeli wapi sasa
Hakuna cha wazee walio kabidhiwa hili taifa,hizi ni hadithi ya vijiwe vya kahawa.Hivi kwa akili ya kawaida kabisa unaona taifa hili lina watu wazima kichwani ? kwa namna taifa hili lilivyo.Leo hii Tanzania inahofia kanchi kadogo kama Rwanda, vichekesho.
 
Wazi
 
Ulivyoingiza mambo ya dini na uwanamke wake nikaishia kusoma hapo, hata sioni sababu ya kukujibu bado upo gizani sana.
Wala usijibu wewe ni mtu wa chuki kwa kila anachofanya Samia. Watasoma wengine ili wajuwe ukweli
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…