😂Amewekewa sumu amewekewa sumu Kiko wapi?
Huyu Paul christian Makonda ni Rais ajae! Kama hutaki peleka uwendawazimu wako Burundi,Rwanda,zimbambwe,chad,mali,nigeria,kenya,gambia and all other failed states.
Ukisikia bendera chuma mringoti chuma kamba chuma upepo chuma udongo chuma mpandishaji chuma mshushaji chuma plus chuma chuma ndiye huyo.
Sio wamekimbia tu wametetemeka kama Lucas MwashambwaMajasusi wa JF wame kimbia mafichoni
Hii imetengenezwa kwaajili ya wajinga kama wewe. Wenye akili tulishajuaMajasusi wa JF wame kimbia mafichoni
ErythrocyteMajasusi wa JF wame kimbia mafichoni
mkuu umefanikiwa kupata choo cha asubuhi Leo?Amewekewa sumu amewekewa sumu Kiko wapi?
Huyu Paul christian Makonda ni Rais ajae! Kama hutaki peleka uwendawazimu wako Burundi,Rwanda,zimbambwe,chad,mali,nigeria,kenya,gambia and all other failed states.
Ukisikia bendera chuma mringoti chuma kamba chuma upepo chuma udongo chuma mpandishaji chuma mshushaji chuma plus chuma chuma ndiye huyo.
britanicca Yupo vzr kwenye mikeka sio kwa huyu mwamba makonda(jasusi)britanicca njoo uone huku Jamaa yako anakuvua nguo hadharani huku kwamba Wewe umewalisha matangopori wadau sasa wanauguza matumbo yako km mkeka basi huu umechanika