Yoda
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 48,475
- 70,102
Sasa bendera ya chuma itapepeaje??Ukisikia bendera chuma mringoti chuma kamba chuma upepo chuma udongo chuma mpandishaji chuma mshushaji chuma plus chuma chuma ndiye huyo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa bendera ya chuma itapepeaje??Ukisikia bendera chuma mringoti chuma kamba chuma upepo chuma udongo chuma mpandishaji chuma mshushaji chuma plus chuma chuma ndiye huyo.
Acha usengerema wewe chawa!Amewekewa sumu amewekewa sumu Kiko wapi?
Huyu Paul christian Makonda ni Rais ajae! Kama hutaki peleka uwendawazimu wako Burundi,Rwanda,zimbambwe,chad,mali,nigeria,kenya,gambia and all other failed states.
Ukisikia bendera chuma mringoti chuma kamba chuma upepo chuma udongo chuma mpandishaji chuma mshushaji chuma plus chuma chuma ndiye huyo.
😹😹Hii imetengenezwa kwaajili ya wajinga kama wewe. Wenye akili tulishajua
Kwikwikwi. Ngoja tumsikie kama sio aibu tupuSio mimi nilie leta habari za jamaa yuko mahututi Mjinga ni wewe na majasusi. mmekaa kama mazombie kila habari mna jijaza
😹😹
ebritanicca njoo uone huku Jamaa yako anakuvua nguo hadharani huku kwamba Wewe umewalisha matangopori wadau sasa wanauguza matumbo yako km mkeka basi huu umechanika
Sawa mama Kigani tumekusikiaAmewekewa sumu amewekewa sumu Kiko wapi?
Huyu Paul christian Makonda ni Rais ajae! Kama hutaki peleka uwendawazimu wako Burundi,Rwanda,zimbambwe,chad,mali,nigeria,kenya,gambia and all other failed states.
Ukisikia bendera chuma mringoti chuma kamba chuma upepo chuma udongo chuma mpandishaji chuma mshushaji chuma plus chuma chuma ndiye huyo.
We mchepuko.....Teh tehAmewekewa sumu amewekewa sumu Kiko wapi?
Huyu Paul christian Makonda ni Rais ajae! Kama hutaki peleka uwendawazimu wako Burundi,Rwanda,zimbambwe,chad,mali,nigeria,kenya,gambia and all other failed states.
Ukisikia bendera chuma mringoti chuma kamba chuma upepo chuma udongo chuma mpandishaji chuma mshushaji chuma plus chuma chuma ndiye huyo.
Nadharia chonganishi. Inawezekana walipanga kumuua kwa sumu, na wakapanga kila kitu wakajua hajui kumbe alijua kila kitu, hivyo ktk kutekeleza nia yao ovu wakafanya then mwamba kile chakula kikabadilishwa juu kwa juu ila wale waovu wakajua alochokula ndiyo chenyewe na akaamua kupotea ili kuzuga. Hahaha yaani hiyo nadharia ya kijinga ya kwanguMajasusi wa JF wame kimbia mafichoni
HujakaribiaNadharia chonganishi. Inawezekana walipanga kumuua kwa sumu, na wakapanga kila kitu wakajua hajui kumbe alijua kila kitu, hivyo ktk kutekeleza nia yao ovu wakafanya then mwamba kile chakula kikabadilishwa juu kwa juu ila wale waovu wakajua alochokula ndiyo chenyewe na akaamua kupotea ili kuzuga. Hahaha yaani hiyo nadharia ya kijinga ya kwangu
Nimevamia shughuli isiyonihusu kwa hio waliompikia Sumu ni nani au alishagazikwa? Mnatufanya watu tunaonekana km vigagura huku na uzushi wenu usiokua na ukweliNiletee sehemu inayomtaja Makonda na kunivua nguo?
Tatizo elimu elimu elimu
Rudia nyuzi zoote nilizoandika kuna Sehemu nimetaja jina Makonda kuhusishwa na unavyohisi?
Shuleni mlienda kufanya nini vijana
Britanicca
e
Hizo political stunts zenu mtaendelea kuwavua wenye akili fupi kama wale mliozoea kuwapata siku zote.Amewekewa sumu amewekewa sumu Kiko wapi?
Huyu Paul christian Makonda ni Rais ajae! Kama hutaki peleka uwendawazimu wako Burundi,Rwanda,zimbambwe,chad,mali,nigeria,kenya,gambia and all other failed states.
Ukisikia bendera chuma mringoti chuma kamba chuma upepo chuma udongo chuma mpandishaji chuma mshushaji chuma plus chuma chuma ndiye huyo.
Kwani wewe unaona kuna mtu pale. Huoni kabisa jamaa anayumbayumba, amepungua mwili hadi tako?britanicca njoo uone huku Jamaa yako anakuvua nguo hadharani huku kwamba Wewe umewalisha matangopori wadau sasa wanauguza matumbo yako km mkeka basi huu umechanika