Ngurukia
JF-Expert Member
- Feb 25, 2023
- 4,407
- 16,942
Waone kama ina chumvi au sukari.Kwahiyo waliompa sumu ndo hao hao waliompeleka Nairobi kutibiwa? Maajabu haya...
Nia ya kumpa sumu ilikuwa ni nini mkuu?
Katumiwa kama tester😂😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Waone kama ina chumvi au sukari.Kwahiyo waliompa sumu ndo hao hao waliompeleka Nairobi kutibiwa? Maajabu haya...
Nia ya kumpa sumu ilikuwa ni nini mkuu?
Ataolewa tu
Siyo kutetemeka wamebubujikwa na machozi.Sio wamekimbia tu wametetemeka kama Lucas Mwashambwa
Naona unajipa promo Baba Keagan. Utamnyoosha nani? Kwa kipi ukichonacho? Kwani wewe ni nani hapa nchini? We ni sawa na Queen Sendiga au Halima Dendego.Amewekewa sumu amewekewa sumu Kiko wapi?
Huyu Paul christian Makonda ni Rais ajae! Kama hutaki peleka uwendawazimu wako Burundi, Rwanda, zimbambwe, chad, mali, nigeria, kenya, gambia and all other failed states.
Ukisikia bendera chuma mringoti chuma kamba chuma upepo chuma udongo chuma mpandishaji chuma mshushaji chuma plus chuma chuma ndiye huyo.
Sema ume comment bila kujua code kaka..Hii kauli yako ni bora ungekuwa wa kike lakini wa kiume ni hatari angalia ndugu pesa isije tweza utu wako usikubali kila kazi kisa unalipwa
Tafuta kazi ya kufanya! Unamatatizo ya akili.Naona unajipa promo Baba Keagan. Utamnyoosha nani? Kwa kipi ukichonacho? Kwani wewe ni nani hapa nchini? We ni sawa na Queen Sendiga au Halima Dendego.
Acha mbwembwe dogo huna lolote wala huna influence yoyote hapa Tanzania.
Huyu ni Motivational Mod mkuu Hujui tuuraraa reree Ndugu huu moto wa likes vp!
Huyu ni Motivational Mod mkuu Hujui tuu
Oyaaa mazee sio poa 😄A.k.A automated liking machine😎
Basi awahi Ngorongoro!Alikuwa likizo
raraa reree una moto 😄Oyaaa mazee sio poa 😄