Amewekewa sumu amewekewa sumu Kiko wapi? Kwa Makonda mtanyooka

Amewekewa sumu amewekewa sumu Kiko wapi? Kwa Makonda mtanyooka

Amewekewa sumu amewekewa sumu Kiko wapi?
Huyu Paul christian Makonda ni Rais ajae! Kama hutaki peleka uwendawazimu wako Burundi, Rwanda, zimbambwe, chad, mali, nigeria, kenya, gambia and all other failed states.

Ukisikia bendera chuma mringoti chuma kamba chuma upepo chuma udongo chuma mpandishaji chuma mshushaji chuma plus chuma chuma ndiye huyo.
Naona unajipa promo Baba Keagan. Utamnyoosha nani? Kwa kipi ukichonacho? Kwani wewe ni nani hapa nchini? We ni sawa na Queen Sendiga au Halima Dendego.

Acha mbwembwe dogo huna lolote wala huna influence yoyote hapa Tanzania.
 
Naona unajipa promo Baba Keagan. Utamnyoosha nani? Kwa kipi ukichonacho? Kwani wewe ni nani hapa nchini? We ni sawa na Queen Sendiga au Halima Dendego.

Acha mbwembwe dogo huna lolote wala huna influence yoyote hapa Tanzania.
Tafuta kazi ya kufanya! Unamatatizo ya akili.
 
Back
Top Bottom