Dr criminal
JF-Expert Member
- May 16, 2022
- 2,282
- 4,316
- Thread starter
- #121
Wameskia[emoji1666]Mwanamke usizae kama huna utayari wa kuwa mama na usizae ukiwa hauna uwezo wa kumtunza mtoto wako mwenyew..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wameskia[emoji1666]Mwanamke usizae kama huna utayari wa kuwa mama na usizae ukiwa hauna uwezo wa kumtunza mtoto wako mwenyew..
Umeolewa wewe bila shaka[emoji23]Apambane kudanga alee mwanae,kama mnaona wa ndoa ndo watamu haya kakutana na mchungu.
Bila shaka mkuuUmeolewa wewe bila shaka[emoji23]
We umkimbie uende wapi?Me mwenyew ninako kamoja kanajua kabisa mm ni mume wa mtu na nina watoto watatu wote wa kiume. Mwanzo baada ya kukatongoza tukakubaliana sisi ni kupelekeana moto tu na kula bata za hapa na pale na ni lazima kuvaa mpira. Sasa siku zinavyozidi kwenda mara ananiambia nataka kunizalia mtoto wa kike, me namchora tu. Nilimpotezea siku mbili tatu hapa akachanganyikiwa hadi kaniweka status za whatsapp🤣🤣. Nina mpango nimkimbie
Tatizo la kutembea na mume wa mtu ni hilo.Hakuna ujinga wanawake micheps wanafanya kama kuzaa na Mme wa mtu ,ni ujinga mtupu na wanakosea sana
Alifuata pesa mkuu2. Dada aliwaza nini kutoka na mume wa mtu?
Mkuu, siku hizi wanasema "ana rangi ya mtume"Huyo Dada jina lake linaanzia na C
Huyo dada alikuwa anachagua sana Wanaume, alikuwa anaringa sana. Ana Kibuli sana.
Ni upumbavu kukataa damu yako,hakuna kinachoweza justify hilo.Muhimu kajifungua kwa amani basi alee tu mtoto since jamaa aliweka wazi msimamo wake mapema.
Hayo mengine yatajulikana tu muda wake ukifika.
Kama angetumia akili angekuwa anatumia ndomu kila wanapo kutana ama angebaki na mke wake.Nilichigindua jamaa tangu awali alitumia akili kwenye mahusiano badala ya hisia.
Safi sana sasa kama jitu limeshindwa kujielewa unataka yy alifanyaje?
Kuna watu wengine misimamo yao walishaazimia kutokuwa na mtoto nje. Labda yy binafsi kaamua kutomtambua tu.Kama angetumia akili angekuwa anatumia ndomu kila wanapo kutana ama angebaki na mke wake.
Kukataa kiumbe chako halali ni upumbavu na ujinga.
Unapoweka misimamo timiza pia wajibu wako,angepungukiwa nini kama angekuwa anatumia kinga kila wanapo kutana? Tusitake kumlaumu mwanamke,na kumtetea huyo jamaa.Kuna watu wengine misimamo yao walishaazimia kutokuwa na mtoto nje. Labda yy binafsi kaamua kutomtambua tu.
Ingawa kukataa mtoto ndio kiukweli ni mbaya. Kingine akimkubali mtoto basi akubali kupoteza ndoa yake. Nae hayuko tayari kwa hilo.
Hiyo siyo warrant ya baba kutokuwajibika.Huyo Dada jina lake linaanzia na C
Huyo dada alikuwa anachagua sana Wanaume, alikuwa anaringa sana. Ana Kibuli sana.
Huyo hayupo miongoni mwa wenye misimamo ya kutokuzaa nje.wenye misimamo hiyo inatarajiwa wasifanye ngono na wasio wake zao au wawe consistent condom users.Kuna watu wengine misimamo yao walishaazimia kutokuwa na mtoto nje. Labda yy binafsi kaamua kutomtambua tu.
Ingawa kukataa mtoto ndio kiukweli ni mbaya. Kingine akimkubali mtoto basi akubali kupoteza ndoa yake. Nae hayuko tayari kwa hilo.
Wakujifunza, wajifunzeKila wakati ntawakumbusha wanawake mwanaume mwenye akil timam awez kuacha mke wake na familia yake akufate ww mchepuko Tafuta wako ni sawa na mtu auze friji anunue Deli... Mwmbie dada ako apambane na hal yake