Ndio ukweli kaka tutabisha tuuuIla we jamaa[emoji1787][emoji1787]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio ukweli kaka tutabisha tuuuIla we jamaa[emoji1787][emoji1787]
hainiumi inawezekana pia si mwanamke... we elewa tu hivyo hata kama na wewe ni mwanamke ujue inawezekana akili zako ni kama za dada wa jamaa hapo.Mama yako nae hana akili itakuwa
Acha zakoUzinzi wangu tunaukomesha kwa mie kukuwowa wewe
Huyo ni dada yako anakujibu hivyo? Seriously 🙄.Exactly,,me kwenye kupiga nae story nikamuuliza kwann ulitoka na mme wa mtu wakati vijana kibao tu wanakuitaji,, akanijibu"Mme wa mtu anamwaga Salio,hawazi mara mbili".
Daah sawaa[emoji1787][emoji1787][emoji23]Ndio mzeya, inaitwa honor killing...ata mbinguni inakubalika hiyo. Unakuwa unakemea uzinzi
Duuuh sawa mkuu[emoji1666]usiangalie matokeo, anza na sababu, kwanini ajilengeshe ?
Wenzetu mna mama na dada wa ajabu. Haya poleni...ndo ushazaliwa na mama mjinga, you can do nothinghainiumi inawezekana pia si mwanamke... we elewa tu hivyo hata kama na wewe ni mwanamke ujue inawezekana akili zako ni kama za dada wa jamaa hapo.
Blessa✌️Wenzetu mna mama na dada wa ajabu. Haya poleni...ndo ushazaliwa na mama mjinga, you can do nothing
Hii jinsia mkuu[emoji119]mtu anakuambia usimletee habari za mimba, mean kwamba hana malengo na wewe na still bado unaenda kumpanulia miguu[emoji848]
Dah! nikiitwa mwanamke napigana, na nitapiga mtu sio kwa sababu sipendi hiyo jinsia ila tu sipendezwi na akili zao.
Sure thing mkuuu [emoji1666]Kiufupi dada yako apambane na hali yake. Alijua ni mume wa mtu akaendelea nae, akapewa warning asizae kiherehere chake akabeba mimba.
Huyo mjamaa hana kosa lolote.
Mshaanza kupendana[emoji23]Uzinzi wangu tunaukomesha kwa mie kukuwowa wewe
Sawaaa[emoji23][emoji119]Ndio ukweli kaka tutabisha tuuu
Ni mtoto wa ma mdogo,,hata angekuwa tumbo moja wanawake ndo wale wale mkuu,,mama ang ashawahi kunichana "Sisi wanawake tunamatatizo" akimaaninisha hata dada zang niwanawake pia niishi nao kwa akili achana na hawa wanawake wa duniani.Acha zako
Huyo ni dada yako anakujibu hivyo? Seriously [emoji849].
Dada yako wa tumbo moja?
Wanawake ndivyo walivyo kivipi yaani? Mie siwezi kumwambia kaka yangu hivyo au ndugu yangu yoyote yule, labda shosti wangu tuNi mtoto wa ma mdogo,,hata angekuwa tumbo moja wanawake ndo wale wale mkuu,,mama ang ashawahi kunichana "Sisi wanawake tunamatatizo" akimaaninisha hata dada zang niwanawake pia niishi nao kwa akili achana na hawa wanawake wa duniani.
Ni dada ang lakini pia ni rafiki ang sana,,yani tuna urafiki nje ya undugu kiasi kwamba tunashirikishana izo changamoto za mahusiano ndo maana akawaacha wote me ndo akanipa mkanda mzima,,We are friends.Wanawake ndivyo walivyo kivipi yaani? Mie siwezi kumwambia kaka yangu hivyo au ndugu yangu yoyote yule, labda shosti wangu tu
Huwezi zalisha mkuu [emoji1787] masihara yako au kweliEeh tatizo ni la wazazi pia wajinga. Wee mzazi mtoto wako anagegeda warembo huko nje unakenua meno tuu. Upuuzi huo. Mzazi unapaswa kulinda heshima la jina lako ata kwa kumwaga damu. Mtoto wako anazini wee unamuangalia tuu, sijui anakuwa mqizi unacheka tuu. Hao ni kukamata na kuchinja tuu. Aisee bahati mbaya tuu siwezi zalisha ila mie watoto wangu wangukuwa wamenyoka vilivyo. Hapana lea upuuzi. Mtoto wako anakuja kuzalia kwako wee unaangalia tuu.loh!