Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Simu yangu inagoma kudownload kupitia app
Mamaeeeeeeeeee... nimecheka sana, uyo hawezi rudia kutukana mtaa huo
Hii lazima itakuwa huko ugwenoni kwenu mkuu
KataviHii lazima itakuwa huko ugwenoni kwenu mkuu
Naaamini pia kua walifanya utani wa kijingaa huo.ndio maana mwenye mke aliishia kupambana na mkewe huku bwana mayombi akiendelea na mishe zakee[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Labda walibet Yanga na Simba.
Unakumbuka aliposema
MAYOMBA HATIMAYE UMETIMIZA AHADI YAKO...[emoji23]
Wali pingiana waleee[emoji1787][emoji1787][emoji1787],si unajua ile michezo ya humuwezi demu wanguuu wewe. Ni mgumuu balaaaaAfu mayombi mwenyewe wala hashtuki sijui alichanganyikiwa au kiburi tu
Sent from my TECNO K8 using JamiiForums mobile app
Mayombe mbavu ipo kaogopa angechezea kichapo na mke kagongewaNilicheka Sana jamaa alivyokuwa analalamika....
Mayombi umenito...... Mke wangu Mayombi. Jamaa anamgeukia mke piga konde' jamaa zembe kashindwa hata kumrushia Mayombe konzi.
Niwaiteee? Maana me nishaona editing