Depal
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 48,444
- 194,235
Usiwaogope bana 😆NshafutaaaView attachment 1958289
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Usiwaogope bana 😆NshafutaaaView attachment 1958289
Video iko wapi?Nilicheka Sana jamaa alivyokuwa analalamika....
Mayombi umenito...... Mke wangu Mayombi. Jamaa anamgeukia mke piga konde' jamaa zembe kashindwa hata kumrushia Mayombe konzi.
Hahaaaaaa,pamoja mkuuKishimundu iyo [emoji23]
Ni pepo la ngono tu si kingine, kwanza ni kuongeza uadui na kumharibia future huyo mwanamke mana hata kumuoa huyo mayombi haweziWanaume marafiki sijui kwanini huwa natembea ya kuwachukulia wenzao wanawake?
Akili pale ilikuwa haiko sawa,alikuwa anahisi kifo kifo tuAfu mayombi mwenyewe wala hashtuki sijui alichanganyikiwa au kiburi tu
Sent from my TECNO K8 using JamiiForums mobile app
Ndiyo mjifunze. She wako aki'mess up dai fidia uikule. Ila penzi lenu lisikufe 😆😆😆Ila jamaa (aliyefumania) ni matured enough. Inakuhitaji uwe na moyo aisee!
Umfumanie mkeo alafu usifanye chochote badala yake ukadai fidia?
Hayo atayaweza huyo jamaa. Mimi kwa kweli hapana.Ndiyo mjifunze. She wako aki'mess up dai fidia uikule. Ila penzi lenu lisikufe 😆😆😆
Yaan .. Sijapenda kabisa. Jamaa boya tu 🤣 kwanini asimpige mgoni wake Kama anajikuta komando.Kamlamba makofi na ngumi za kutosha
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaah nilipitwaje sasa cc, hebu nirushie hyo clip lol.Nilicheka Sana jamaa alivyokuwa analalamika....
Mayombi umenito...... Mke wangu Mayombi. Jamaa anamgeukia mke piga konde' jamaa zembe kashindwa hata kumrushia Mayombe konzi.
Pitia comments kipenzi ipo 😀😀[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaah nilipitwaje sasa cc, hebu nirushie hyo clip lol.