Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hahahahahahaLabda walibet Yanga na Simba.
Unakumbuka aliposema
MAYOMBA HATIMAYE UMETIMIZA AHADI YAKO...[emoji23]
TunArudi palepale...Katika hali ya kustaajabisha, mfanyabiashara wa duka la simu mkoani Katavi Issa Kasili, amemfumania rafiki yake ambaye ni mfanyabiashara wa zao la mpunga katika Halmashauri ya Mpimbwe, Wilaya ya Mlele mkoani humo, Mayombi Mwela akiwa chumbani akichepuka na mke wake.
Katika video inayosambaa mitandaoni inamwonyesha Issa Kasili akimlaumu rafiki yake huyo kwa kuzini na mkewe....
"Umeni *****... mke wangu Mayombi? Umeni *****... mke wangu Mayombi? Mwishowe umetimiza ahadi yako?
Akimdhibiti mkewe, Kasili amesema amezaa naye mtoto mmoja hivyo kuanzia sasa hataki ndoa naye tena ambapo mara baada ya kumfumania alimpiga faini ya shilingi milioni 5 rafiki yake huyo.
Mayombi mbavu nene.....Afu mayombi mwenyewe wala hashtuki sijui alichanganyikiwa au kiburi tu
Sent from my TECNO K8 using JamiiForums mobile app
Mkuu habari ya uzima? Naomba uni-pm hiyo video ya bwana Mayombwe aisee.Ah.. Wee naogopa ban kama ukoma[emoji23]
Ni uchagani 🤣🤣🤣Hii lazima itakuwa huko ugwenoni kwenu mkuu
View attachment 1958469View attachment 1958471View attachment 1958472
#KuchapiwaHakuepukiki
#KitandaHakizaiHaramu
#Kuchapiwanisiriyandani
Ila wewe hahaha kwani ndoa zilikukosea nini?TunArudi palepale...
Msioe.
#YNWA
We unadhani huyo Issa kasili ange HIT and RUN leo angepata hii fedheha ya kuanikwa kila sehemu kwamba kafumania?Ila wewe hahaha kwani ndoa zilikukosea nini?
Mamaee kafaidi bana..
Naiomba na mimi..Tafanya hivyo mkuu bila shaka