Ravalomanana
JF-Expert Member
- Sep 8, 2018
- 1,557
- 1,540
Hahaaa uliangalia kweli mpira wewe lile ni goli mpira umetoboa nyavuKajitahidi kivipi?
Penalti imeokolewa aalafu amasema goli! Aibu kwake na kwa TFF.
Tabora sijui wamewakosea nini TFF.
Mechi ya kwanza ya playoff nayo walionea.
View attachment 3015682