Amini, Usiamini. Nimepona Magonjwa 100+ Kwa Jina la Yesu!

Mtumishi utakuwa una dhambi nyingi sana, Ayubu alipigwa na shetani lakini magonjwa yake hayakufika 100+!
Elon Musk hajapigwa hata na gonjwa moja, Mwamposa, Suguye, Kakobe hawana magonjwa.
Wewe unateswa na magonjwa lukuki unamsumbua Yesu kila siku kukuponya.
Ndo maana wale aliowaponya Yesu aliwaambia "nenda umesamehewa dhambi zako. Wewe husamehewi tuu?
 
Mungu yupo na ana Nguvu
Huyo Mungu ana nguvu gani?

Huyo Mungu mwenye nguvu mbona ameshindwa na anashindwa kuwasaidia maelfu ya wanawake na watoto wanaoteseka na kufa kwa njaa, vita, magonjwa, majanga ya asili na shida mbalimbali duniani?

Huyo Mungu kama yupo, Ni Mungu mdhaifu, mjinga, mchovu, katili na bandidu na wala HANA msaada wala nguvu yeyote.

Mungu huyo hafai kabisa anastahili kufurushwa.
 
Unaweza ukataja vyanzo vya hayo magonjwa 100+ kwa uchache?
Baadhi ya magonjwa huwa yananiijia tu ghafla bila kuhisi chanzo chochote. Usisahau, magonjwa mengine huletwa na mapepo. Magonjwa ya aina hii hata ukienda hospitali za hali ya juu, watapima kila kitu lakini hawataona virus wala bacteria. Unaumwa lakini chanzo hakijulikani/hakionekani
 
Naamini,nimepitia huo mkondo wa kuugua sana,na hata baadhi ya magonjwa yalishindikana hospitali lakini kupitia maombi yalipona yote,yapo niliyo ombewa na yapo niliyo omba mwenyewe nikapokea uponyaji immediately au siku iliyofuata......
 
Nakuambia ukweli, magonjwa mengi nimepona kwa muujiza kwa Jina la Yesu bila kutumia dawa. Ila kama nilivyosema, kuna wakati huwa naenda hospitali na kupata dawa, nikizitumia, napona pia.
Unaonaje tukianzisha huduma ya uponyaji mtumishi? Unaonekana una upako wa hali ya juu sana.
 
Una tatizo moja kubwa nalo ni ugonjwa wa akili.
Samahani ila wewe ni kichaa .
 
Sio chai tu.

Bali pia, you have hallucinations.

You need mental rehabilitation therapy.

You need to restore your brain 🧠 to factory settings.
Ah, I see you're unleashing quite the tapestry of whimsical observations. Allow me to reciprocate in kind: Your penchant for theatrical declarations could rival the most eccentric of dramatists, but alas, it appears that your rhetorical compass has wandered far afield. Perhaps a recalibration of your logic processor is in order, lest you remain adrift in this sea of imaginative conjecture.
 
Naamini,nimepitia huo mkondo wa kuugua sana,na hata baadhi ya magonjwa yalishindikana hospitali lakini kupitia maombi yalipona yote,yapo niliyo ombewa na yapo niliyo omba mwenyewe nikapokea uponyaji imeediately au siku iliyofuata......
Kama kupigwa kwake Yesu sisi tulipona, Mbona uliumwa hayo magonjwa?

Kama kupigwa kwake huyo Yesu sisi tumepona na tulipona, Mbona watu kila siku wanaumwa?

Kama kupigwa kwake huyo Yesu sisi tumepona, Mbona wagonjwa hawaishi mahospitalini?

Hivi wewe una utimamu huko kichwani mwako?
 
Another petty bloated entitled brat throwing tantrums.

You need mental rehabilitation therapy.

You have hallucinations and you should restore your brain to factory settings.
 
Huko kote mbali sana kama yesu aliwaponya kwa kupigwa kwake je hao wa mhamadi waliponywa vipi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…