We umekatisha dose,fungus now wanashambulia ubongoPole kwa kutoamini.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We umekatisha dose,fungus now wanashambulia ubongoPole kwa kutoamini.
Kabisa huyu mleta mada ana fungus kwenye ubongo.We umekatisha dose,fungus now wanashambulia ubongo
Mbona unajichanganya, mkuu. Kwani Ayubu aliugua kwa sababu ya dhambi? Magonjwa mengine ni kwa utukufu wa Mungu.Mtumishi utakuwa una dhambi nyingi sana, Ayubu alipigwa na shetani lakini magonjwa yake hayakufika 100+!
Elon Musk hajapigwa hata na gonjwa moja, Mwamposa, Suguye, Kakobe hawana magonjwa.
Wewe unateswa na magonjwa lukuki unamsumbua Yesu kila siku kukuponya.
Ndo maana wale aliowaponya Yesu aliwaambia "nenda umesamehewa dhambi zako. Wewe husamehewi tuu?
Asante mkuu.100 ni tone, mkuu. The International Classification of Diseases (ICD) by the World Health Organization (WHO) is a system that categorizes diseases and health conditions. The latest version, ICD-11, lists over 55,000 unique codes for diseases, disorders, and injuries!!
HIvi watu maneno mnatoaga wapi?😂We umekatisha dose,fungus now wanashambulia ubongo
Una hoja usikilizwe.Huyo Mungu ana nguvu gani?
Huyo Mungu mwenye nguvu mbona ameshindwa na anashindwa kuwasaidia maelfu ya wanawake na watoto wanaoteseka na kufa kwa njaa, vita, magonjwa, majanga ya asili na shida mbalimbali duniani?
Huyo Mungu kama yupo, Ni Mungu mdhaifu, mjinga, mchovu, katili na bandidu na wala HANA msaada wala nguvu yeyote.
Mungu huyo hafai kabisa anastahili kufurushwa.
View attachment 3195668
Mkuu samahani uyu ndio yule yesu wa kwenye video??
We binti mzuri na msomi mbona unaandika uongo?100 ni tone, mkuu. The International Classification of Diseases (ICD) by the World Health Organization (WHO) is a system that categorizes diseases and health conditions. The latest version, ICD-11, lists over 55,000 unique codes for diseases, disorders, and injuries!!
Usichoke mkuu endelea tu kuomba yan we endelea tu kuomba ipo siku mbingu zitafunguka magorofa na magari yote utayaona yamefunguka#setfree mbonaa mm naomba Kila siku sipati majibu , answer me please 🙏🙏
Mkuu huo ni ukweli!HIvi watu maneno mnatoaga wapi?😂
tunawajua,tunawatibuThibitisha
Suala la kukawia kupata majibu ni somo pana. Kwa ufupi niseme hivi: Mungu anasikia saa ileile tunapomuomba. Wakati mwingine majibu ya maombi yetu yanatolewa saa hiyohiyo lakini huwa yanazuiliwa. Majibu ya Danieli yalizuiliwa kwa siku 21. Soma Danieli 10:12-13. Vile vile majibu ya maombi yanaweza kuwa “ndiyo,” “subiri,” au “hapana,” kulingana na mpango wa Mungu. Na wakati mwingine Mungu anajibu kwa njia tusiyoitarajia. Kitu muhimu ni kuendelea kuishi maisha matakatifu na kuomba bila kukata tamaa na bila kunung'unika; kumbuka hata Yesu aliomba mara tatu kikombe kimuepuke! Mtume Paulo aliomba mara tatu mwiba uondoke mwilini mwake akajibiwa kwamba neema ya Mungu yamtosha! Endelea kuomba, usikate tamaa. Na pia unaweza kuongeza "gia ya maombi" kwa kuwashirikisha Watumishi wa Mungu wakuombee; ila kama nilivyotahadharisha: Mtumishi akikuambia utoe pesa ndio akuombee, mwepuke.#setfree mbonaa mm naomba Kila siku sipati majibu , answer me please 🙏🙏
British actors, Brian deacon na Robert Powell. Ndio waigizaji wa filamu ya Yesu.Mkuu samahani uyu ndio yule yesu wa kwenye video??
Unanipangia cha kusema, kwani mimi sijui tofauti ya magonjwa? Kikohozi na mafua ni sawa? Macho kuuma na upele puani ni sawa? Ngozi kuwasha na majipu ni sawa. Maumivu ya tumbo ni sawa na "kuendesha"?????????????????????????????????????Umepona zaidi ya mara 100, siyo magonjwa mia