Grenvil
Senior Member
- Feb 6, 2013
- 180
- 16
Hamjaziona kesi za epa na watu kufungwa?
Hamuoni watu wa unga wanavyokamatwa kila siku?
Chuki zenu ni za kibinafsi na roho zanu zilivyombaya kila mnapoona mafanikio ya Kikwete nyie ndio mnazidi uhasidi. Mtaungulika sana, Kikwete ndio Rais na Mohamed Gharib Bilal ndio makamu wake.
Wewe upimwe akili sio mzima au ndio mama wa tanu