Amkata mumewe korodani ya kushoto akiwa usingizini

Amkata mumewe korodani ya kushoto akiwa usingizini

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]asee kuishi na mtu kunataka nidhamu na imani jamaa amepoteza zana muhimu...
 
Hamna sio chai mkali
Mkali Mimi ndio maana naogopaga wale wanaoziweka mdomoni na kuzitema pwaaa! Wakati wa Mahabash. Maana anaweza akazitafuna. Hapo tu kazitie wembe.

Anaweza akaziweka mdomoni mara ya kwanza akazitema, Mzee ukafurahia, unagunaguna .

Mara ya pili akazimeza akazitema Mzee unaugulia tu..


Baadae kwachuuu
 
Dunia imekuwa s sehemu salama tena, watu hawaaminiki jaman.....
 
itangazwe rasmi sasa kuwa Tz kuna vita ya wenza 🤣🤣🤣
 
Kitu kinachoelekea kuongoza katika kuuwa watu wengi katika nyakati zetu hizi huenda kikawa mahusiano.
 
Kama ni tunduru pale kunapombe mbili zakienyeji

1-- mnanzi 2--inayotokana na korosho inanipotea jina(gongo itoke nyuma)

Na bange Sana endapo mwamba hua anatumia hivi vitu kupitiliza Basi kuamka kuchakata mchezo lazima itakua ngumu Sana na ukiangalia tofauti ya umri hapo

Basi bibie akaamua akati hayana kazi
 
Kila nikisikia matukio haya yanayofanywa na wanawake nahis hata mimi kuna siku nitakuja kukatwa maana mke wangu ni mwehu hatari na ana wivu wa kijinga sana
 
Duuh! Kwa sasa kati ya Ke na Me hakuna mwenye nafuu wala afadhali ikija kwenye haya matukio yasiyofaa ndani ya mahusiano hadi kuna saa nawaza tunakoelekea sijui itakuwaje?
Jamii imelemewa...
 
huyo alilalaje kizembe hivo? unalalaje umeachama mapaja na pumbu juu, mwanaume lala kiubavu au lalia tumbo, mpaka aje akugeuze azikate tiyari ushashtuka.
 
Duh! Wanaume tutafika tumechoka sana,--- utafute hela, umuandae, umkojoze, uwe na tango cyo kibamia, umhonge ukisinzia mawazo yoooote yawe kwenye kulinda korodani zako! Jaman! Kwa hali hii pepo tutalisikia2 kwa Mwamposa
Mkuu umeongea kwa hisia kali sana, wanaume tumeumbiwa mateso,
 
Mkali Mimi ndio maana naogopaga wale wanaoziweka mdomoni na kuzitema pwaaa! Wakati wa Mahabash. Maana anaweza akazitafuna. Hapo tu kazitie wembe.

Anaweza akaziweka mdomoni mara ya kwanza akazitema, Mzee ukafurahia, unagunaguna .

Mara ya pili akazimeza akazitema Mzee unaugulia tu..


Baadae kwachuuu
Mkuu unakubali aweke korodani mdomoni? Wewe ni shujaa zaidi ya Mkwawa,
 
Fikiria tu maumivu ya teke la pumbu yanavyouma.

Huyu ofsa mwenzetu kanyofolewa kabisa
Siyo teke tu, hata ukiminywa.

Jikumbushe kama ulishawahi kupigana, mwingine ukimzidia anakuminya mapumbu lazima upige mayowe.

Mimi enzi zangu za ugomvi, ukiniminya mapumbu lazima nikung'ate wewe mwenyewe utaachia
 
Back
Top Bottom