Amnesty International yaitaka Kenya kumpa hifadhi Godbless Lema kulingana na sheria ya wakimbizi, yasema kumrudisha nchini ni kinyume cha sheria

Amnesty International yaitaka Kenya kumpa hifadhi Godbless Lema kulingana na sheria ya wakimbizi, yasema kumrudisha nchini ni kinyume cha sheria

Hope jana ulisikia taarifa ya habari wenye viwanda wakielezea nini kinachotokea sasa kwenye cement.
 
Hapana, wangeuza laki 3.
Hongera kwa kuwa umejua mna Chadema ikiingia madarakani haita leta uafadhali wowote wa maisha kwa mtanzania zaidi ya kuwa neemesha kwanza viongozi wao.
 
Huyo jiwe wenyu ashatuchafua kidiplomasia na kibiadhara siku nyingi tu siyo mgeni kwetu, hata tumeshazoea na kujipanga.
Wala hatumsujudii Tena ,tunapambana naye tu hapa kwenda mbele.
Treni lishaondoka kituoni.
 
Msaada:hivi ukipewa hifadhi na Nchi fulani, hiyo Nchi itagharamia maisha yako mfano hela ya chakula, nyumba n. k
 
Katika taarifa yao waliyoitoa kwa Umma, shirika lisilo la kiserikali la Amnesty international linalojihusisha na haki za kibinadamu limeona uwezekano wa mamlaka za Kenya kulazimika kumrejesha Mwanasiasa wa Upinzani, Godbless Lema au familia yake kwenye mateso ya kisiasa au uwezekano wa kufungwa Tanzania.

Mkurugenzi wa Amnesty International nchini Kenya, Irungu Houghton amesema kanuni ya kimataifa iliyoridhiwa na sheria za Kenya hairuhusu Kenya kuwarudisha watu kwenye mipaka kwenye nchi ambayo wamo kwenye mateso au hatari.

Karibuni, Godbless Lema alikimbilia nchini Kenya na mkewe na watoto watatu akiomba hifadhi kutoka serikali ya Kenya. Lema na familia yake walivuka mpaka wa Namanga Novemba 8, 2020. Amnesty inaamini yupo chini ya polisi eneo la Kajiado, Kenya. Wakili wake, Prof. George Wajackoyah pia amethibitisha uwezekano wa kurejeshwa.

PIA, SOMA: Godbless Lema akamatwa Kajiado akitorokea Kenya yeye na familia yake. Kurudishwa nchini kesho Novemba 9, 2020

View attachment 1622630
Wampe hifadhi anakimbia vita gani ?
 
tz hatuna wakimbizi wa kisiasa nyinyi sakamonis.

tuna rundo la wakora waliokosa viti vya ubunge,wanaotumia msamiati(mkimbizi)vibaya.

Labda ungelitazama tafsiri halisi ya mkibizi wa kisiasa kama lilivyo tafsiriwa na Umoja wa mataifa (UN). Shukran.
 
Back
Top Bottom