Amos Makala apokelewa Wilayani Karatu, afanya mazungumzo na Viongozi wa CCM na serikali kutoka Ngorongoro

Hana Cha maana huyo anadandia dandia matukio tu. km wasanii wa bongo movie
 
Jibu hojaa weee
Acha matusii ,mkishikwaga pabaya ndio mnakuwa na matusii ,cheki huyo mwenzako amepewa demands notice tuu anabwabaja tuuu

Nawee naweza kukupa notice utoe ushahidi kama nimekosa akili.
Sasa kama hatuna akili na sera

Muambie mwenyekiti wako unayemlamba miguu atoe siku moja tuu hata kwa LEMA aende ngorongoro afanye mkutano mmoja tuu
Kama hamjapoteana na kuanza kuteka watuu
 
Sensema hiii hiii
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…