LGE2024 Amos Makalla: CHADEMA imegawanyika, kuna upande wa Lissu na upande wa Mbowe

LGE2024 Amos Makalla: CHADEMA imegawanyika, kuna upande wa Lissu na upande wa Mbowe

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

Chachu Ombara

JF-Expert Member
Joined
Dec 11, 2012
Posts
6,067
Reaction score
10,938
Mwenezi wa CCM, Amos Makala akiongea na waandishi wa habari leo kuelekea uchaguzi wa Serikali za Mitaa amesema kuwa kwa upande wa CHADEMA kuna mgawanyiko mkubwa unaosababisha wasisomane. Ametaja kuwa mgawanyiko huo unahusisha pande mbili ambazo zinawaunga mkono kati ya Makamu Mwenyekiti bara, Tundu Lissu na Mwenyekiti Taifa Freeman Mbowe
 
Mwenezi wa CCM, Amos Makala akiongea na waandishi wa habari leo kuelekea uchaguzi wa Serikali za Mitaa amesema kuwa kwa upande wa CHADEMA kuna mgawanyiko mkubwa unaosababisha wasisomane. Ametaja kuwa mgawanyiko huo unahusisha pande mbili ambazo zinawaunga mkono kati ya Makamu Mwenyekiti bara, Tundu Lissu na Mwenyekiti Taifa Freeman Mbowe
Ningefurahi zaidi na ningependa kama mwenezi wetu angejikita zaidi kwenye mambo yetu ya kichama na kinchi na sio mambo ya jirani!. Hayo ya jirani awaachie wenyewe wapambane na hali zao!.
P
 
Mwenezi wa CCM, Amos Makala akiongea na waandishi wa habari leo kuelekea uchaguzi wa Serikali za Mitaa amesema kuwa kwa upande wa CHADEMA kuna mgawanyiko mkubwa unaosababisha wasisomane. Ametaja kuwa mgawanyiko huo unahusisha pande mbili ambazo zinawaunga mkono kati ya Makamu Mwenyekiti bara, Tundu Lissu na Mwenyekiti Taifa Freeman Mbowe
Hili guluguja nalo linaongea ujinga ujinga tu, yeye siku zote sera yake ni Lissu na Chadema tu hana la kuwaambia wanachama wake, pumbavu kabisa.
 
Si ndio safi kwake au ana hofu ya nini kama kweli kuna mpasuko mimi nafikiri angeshangilia, kama ana hofu maana yake hana taarifa sahihi na ana wasi wasi wa meza kupinduka
 
Mwenezi wa CCM, Amos Makala akiongea na waandishi wa habari leo kuelekea uchaguzi wa Serikali za Mitaa amesema kuwa kwa upande wa CHADEMA kuna mgawanyiko mkubwa unaosababisha wasisomane. Ametaja kuwa mgawanyiko huo unahusisha pande mbili ambazo zinawaunga mkono kati ya Makamu Mwenyekiti bara, Tundu Lissu na Mwenyekiti Taifa Freeman Mbowe
Amos aibu yako hii, mbona hii ya kitambo sana na imeshabuma wewe ndiyo unakuja nayo?
 
Mwenezi wa CCM, Amos Makala akiongea na waandishi wa habari leo kuelekea uchaguzi wa Serikali za Mitaa amesema kuwa kwa upande wa CHADEMA kuna mgawanyiko mkubwa unaosababisha wasisomane. Ametaja kuwa mgawanyiko huo unahusisha pande mbili ambazo zinawaunga mkono kati ya Makamu Mwenyekiti bara, Tundu Lissu na Mwenyekiti Taifa Freeman Mbowe
Kwani huyu ndo msemaji wa chadema
 
Mwenezi wa CCM, Amos Makala akiongea na waandishi wa habari leo kuelekea uchaguzi wa Serikali za Mitaa amesema kuwa kwa upande wa CHADEMA kuna mgawanyiko mkubwa unaosababisha wasisomane. Ametaja kuwa mgawanyiko huo unahusisha pande mbili ambazo zinawaunga mkono kati ya Makamu Mwenyekiti bara, Tundu Lissu na Mwenyekiti Taifa Freeman Mbowe
Sasa kama chadema wamegawanyika si ndio faida kwa chama chetu ccm? Sasa kwanini watoto wanaandikishwa uchaguzi wa mitaa wakati chadema ishasambaratika?
 
Mwenezi wa CCM, Amos Makala akiongea na waandishi wa habari leo kuelekea uchaguzi wa Serikali za Mitaa amesema kuwa kwa upande wa CHADEMA kuna mgawanyiko mkubwa unaosababisha wasisomane. Ametaja kuwa mgawanyiko huo unahusisha pande mbili ambazo zinawaunga mkono kati ya Makamu Mwenyekiti bara, Tundu Lissu na Mwenyekiti Taifa Freeman Mbowe
Nchimbi ana akili kuliko huyu boya.
 
Back
Top Bottom