UmkhontoweSizwe
Platinum Member
- Dec 19, 2008
- 9,454
- 8,894
Huo ukweli mbona sisi tunaujua toka siku nyingi tu, na tumeshausema humu. Au kwa kuwa Makala kausema kwa sauti ya juu basi imekuwa nongwa?!Hili guluguja nalo linaongea ujinga ujinga tu, yeye siku zote sera yake ni Lissu na Chadema tu hana la kuwaambia wanachama wake, pumbavu kabisa.