UmkhontoweSizwe
Platinum Member
- Dec 19, 2008
- 9,454
- 8,894
Huo ukweli mbona sisi tunaujua toka siku nyingi tu, na tumeshausema humu. Au kwa kuwa Makala kausema kwa sauti ya juu basi imekuwa nongwa?!Hili guluguja nalo linaongea ujinga ujinga tu, yeye siku zote sera yake ni Lissu na Chadema tu hana la kuwaambia wanachama wake, pumbavu kabisa.
Usiseme ukweli sema propaganda na imeshabuma kitambo tuHuo ukweli mbona sisi tunaujua toka siku nyingi tu, na tumeshausema humu. Au kwa kuwa Makala kausema kwa sauti ya juu basi imekuwa nongwa?!
Mbona CCM kuna upande wa sa100 na upande wa Nchimbi tuko kimyaMwenezi wa CCM, Amos Makala akiongea na waandishi wa habari leo kuelekea uchaguzi wa Serikali za Mitaa amesema kuwa kwa upande wa CHADEMA kuna mgawanyiko mkubwa unaosababisha wasisomane. Ametaja kuwa mgawanyiko huo unahusisha pande mbili ambazo zinawaunga mkono kati ya Makamu Mwenyekiti bara, Tundu Lissu na Mwenyekiti Taifa Freeman Mbowe
Endelea kujifariji, badala ya kutafuta njia za kurekebisha mambo ili chama kiimarike.Usiseme ukweli sema propaganda na imeshabuma kitambo tu
Ni kweli wala sio siriMwenezi wa CCM, Amos Makala akiongea na waandishi wa habari leo kuelekea uchaguzi wa Serikali za Mitaa amesema kuwa kwa upande wa CHADEMA kuna mgawanyiko mkubwa unaosababisha wasisomane. Ametaja kuwa mgawanyiko huo unahusisha pande mbili ambazo zinawaunga mkono kati ya Makamu Mwenyekiti bara, Tundu Lissu na Mwenyekiti Taifa Freeman Mbowe
Mbona unajiona kama wewe ni standard measure kila unachosema wewe ndiyo kiko sawa hata kama unapotosha.Endelea kujifariji, badala ya kutafuta njia za kurekebisha mambo ili chama kiimarike.
Hakuna kitu kama hicho mimi CCMMbona ccm kuna upande wa sa100 na upande wa nchimbi tuko kimya
Wewe unaishia kibarazani ya chumbani utayajuaje?Hakuna kitu kama hicho mimi CCM
Poor Kind approach, they can not leave without mentioning CDM National Leader and I think they WrongMwenezi wa CCM, Amos Makala akiongea na waandishi wa habari leo kuelekea uchaguzi wa Serikali za Mitaa amesema kuwa kwa upande wa CHADEMA kuna mgawanyiko mkubwa unaosababisha wasisomane. Ametaja kuwa mgawanyiko huo unahusisha pande mbili ambazo zinawaunga mkono kati ya Makamu Mwenyekiti bara, Tundu Lissu na Mwenyekiti Taifa Freeman Mbowe
Makala amekuwa mwenezi wa CHADEMA sikuhizi badala ya kuelezea ya chama chake (CCM) anajikita kuelezea ya chama kingine au ndo nyepesi anazopatiwa na Msigwa nae anaruka nazo pasina kupima uzito wakeMwenezi wa CCM, Amos Makala akiongea na waandishi wa habari leo kuelekea uchaguzi wa Serikali za Mitaa amesema kuwa kwa upande wa CHADEMA kuna mgawanyiko mkubwa unaosababisha wasisomane. Ametaja kuwa mgawanyiko huo unahusisha pande mbili ambazo zinawaunga mkono kati ya Makamu Mwenyekiti bara, Tundu Lissu na Mwenyekiti Taifa Freeman Mbowe
Pengine anafanya kile ambacho anaona kinamfurahisha boss wakeNingependa zaidi sana mwenezi wetu kujikita kwenye mambo yetu, na mambo ya jirani awaachie jirani wenyewe wapambane na hali zao!.
P
Nilipopotosha ni wapi?Mbona unajiona kama wewe ni standard measure kila unachosema wewe ndiyo kiko sawa hata kama unapotosha.
Ukisikia uchawi ndo huu, unayajua ya jirani, ya kwako huoni mgawanyiko ulioko!Mwenezi wa CCM, Amos Makala akiongea na waandishi wa habari leo kuelekea uchaguzi wa Serikali za Mitaa amesema kuwa kwa upande wa CHADEMA kuna mgawanyiko mkubwa unaosababisha wasisomane. Ametaja kuwa mgawanyiko huo unahusisha pande mbili ambazo zinawaunga mkono kati ya Makamu Mwenyekiti bara, Tundu Lissu na Mwenyekiti Taifa Freeman Mbowe
Uko sahihi kabisaNingependa zaidi sana mwenezi wetu kujikita kwenye mambo yetu, na mambo ya jirani awaachie jirani wenyewe wapambane na hali zao!.
P
Hapa ndio sometimes unaona ubora wa Makonda alipokuwa Mwenezi kuliko hii boga bin tikiti maji.....Hili guluguja nalo linaongea ujinga ujinga tu, yeye siku zote sera yake ni Lissu na Chadema tu hana la kuwaambia wanachama wake, pumbavu kabisa.
Na CCM imegawanyikaje? Au CCM mama Samia na CCM wanachama?Mwenezi wa CCM, Amos Makala akiongea na waandishi wa habari leo kuelekea uchaguzi wa Serikali za Mitaa amesema kuwa kwa upande wa CHADEMA kuna mgawanyiko mkubwa unaosababisha wasisomane. Ametaja kuwa mgawanyiko huo unahusisha pande mbili ambazo zinawaunga mkono kati ya Makamu Mwenyekiti bara, Tundu Lissu na Mwenyekiti Taifa Freeman Mbowe