Kijukuu cha ngoyayi
JF-Expert Member
- Oct 27, 2018
- 1,384
- 2,880
Wasira kushika wadhifa huo kutamfanya asirudi kugombea ubunge na sasa BULAYA ataridi CCM ili kutunukiwa takrima hiyo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haya mambo ya kuwakuza viongozi, wao wanajibebea Bure hii halikubaliki,Hiyo inafahamika wiki 2 zilizopita
Ingependeza sanaWanamchukua Mbowe?
Ukijua wewe si inatosha? Sio surprise tenaWw unajua?
Kama hujui bc ndo maana ya surprise
Katibu Mwenezi Makalla amesema leo kuna suprize kubwa ataitangaza kwenye mkutano wao.
Huenda hii suprize ndo ile Tetesi ya Salum Mwalim kuhama CHADEMA na Kuhamia CCM.
Ngoja tusubirie tujionee maajabu.
Siyo kama umedoda bali Mkutano wa CCM UMEDODAIla huo mkutano mbona km umedoda japo wanajitahidi kuuchachua na ndimu na pilipili
Kumbe huwa wanaahidiwa zawadi. Mbona huwa mnasema wanatoka CHADEMA kwa hiyari yao?Mch. Msigwa anakuwa mjumbe wa kamati kuu, kazi aliyofanya ya kumbomoa Mbowe haina mfano, anahitaji maua.
🤣😆Kuna surprise nyingine zaidi ya hii ya Wassira?
Anajiunga kwani yuko wapi hadi sasa?Mbowe anajiunga na ccm rasmi watu wote wakijua
Msaniii gani atatumbuizaKatibu Mwenezi Makalla amesema leo kuna suprize kubwa ataitangaza kwenye mkutano wao.
Huenda hii suprize ndo ile Tetesi ya Salum Mwalim kuhama CHADEMA na Kuhamia CCM.
Ngoja tusubirie tujionee maajabu.
Hii haiwezi kuwa suprize , kama na hao , popote wanaweza kwenda ili hali undani wao tunaujua , Hata Mbowe anaweza kwenda hakuna wa kushutukaKatibu Mwenezi Makalla amesema leo kuna suprize kubwa ataitangaza kwenye mkutano wao.
Huenda hii suprize ndo ile Tetesi ya Salum Mwalim kuhama CHADEMA na Kuhamia CCM.
Ngoja tusubirie tujionee maajabu.
Uongo mtupu....CCM wapuuzi sana.yaani bozi boziana wamemlipa bilioni tisa kuimba kumsifia Samia.