Mtoto ya mujini... hopefully tutakula pesa kama enzi zile akiwa mweka hazina πππPedeshee Amos πππ
Kwako Lucas pale Vwawa
HaweziHahaaaaaa maisha yana siri nyingi sana. Alimbabaisha jamaa alipokiwa kwenye ziara Mwanza. Please,Amos Makalla ziara ya kwanza ya jujenga chama nenda Arusha please.
NakutamaniYametimia, nilisema baba Gabriel anachukua uenezi
Wanaogopa ku take risk kwa watu wapya wasio wajua, JPM aliwapa funzo la kutosha hawawezi kukosea tena.Mvinyo ileile kwenye chupa tofauti tofauti..., miaka nenda miaka rudi. Nadhani hii ni aidha hadi YESU akirudi AU CCM ikiondoka madarakani.
Hamna jipyaMtoto ya mujini... hopefully tutakula pesa kama enzi zile akiwa mweka hazina πππ
Huenda akapewa Lucas mwashambwaπ€£π€£Katibu mkuu wa UWT ni nani sasa?
Kama Mangungu na try again.CCM imeishiwa watu. Inajaribu jaribu walewale walioshindwa. Watu ambao ni damaged beyond repair
Jina lenyewe haliungi mkonoHuenda akapewa Lucas mwashambwaπ€£π€£
Hahah hataonekana shamban tenahHapi ataacha kulima sasa.
Kilimo ilikuwa danganya toto ya kutafutia cheo, lengo lake limetimia.
Sishangai hili ni kati ya walioteuliwa. Ficheni upumbavu basi hata kama unajulikanaKama Mangungu na try again.