We kichwa Cha nazi, mwenezi ana uwezo Gani wa kutatua kero ni katiba ipi inampa uwezu huo.Makonda ndio alikua anasikiliza kero makalla anaorodhesha kero. Tofaiti makonda alikua anapata suluhu maana kero zinatolewa hadharani viongozi wa serikali wapo wanajibu kero. Makala anaorodhesha tena nje ya uwazi. Njia hiyo yeye na katibu mkuu wake wanaficha nakuwasitiri vigogo dhulumati isitoshe uwezekano kufanyika usanii kuepa kupatikana haki ni mkubwa.
Hizo ni drama za maccm, l
Kero anatatua waziri mkuu na mawaziri wake.
dogo Rudi shule