We kichwa Cha nazi, mwenezi ana uwezo Gani wa kutatua kero ni katiba ipi inampa uwezu huo.Makonda ndio alikua anasikiliza kero makalla anaorodhesha kero. Tofaiti makonda alikua anapata suluhu maana kero zinatolewa hadharani viongozi wa serikali wapo wanajibu kero. Makala anaorodhesha tena nje ya uwazi. Njia hiyo yeye na katibu mkuu wake wanaficha nakuwasitiri vigogo dhulumati isitoshe uwezekano kufanyika usanii kuepa kupatikana haki ni mkubwa.
Aliyemshauri Maza amwondoe PCM kwenye nafasi hiyo alichemka saanaaaa.
Katibu wa Itikadi na Uenezi CCM Taifa, Amos Makalla akiwa Mkoani Mbeya leo, Aprili 16, 2024, amesema "Sisi tuna utaratibu mzuri, hatuwezi kupiga kelele sana, mambo mengine yanahitaji faragha, ndio maana tunatatua kero zetu kisayansi, kimyakimya tunatangaza tumefanya moja mbili tatu.
YULE ULIYERITHI MIKOBA ALIKUWA VUVUZELA
Katibu wa Itikadi na Uenezi CCM Taifa, Amos Makalla akiwa Mkoani Mbeya leo, Aprili 16, 2024, amesema "Sisi tuna utaratibu mzuri, hatuwezi kupiga kelele sana, mambo mengine yanahitaji faragha, ndio maana tunatatua kero zetu kisayansi, kimyakimya tunatangaza tumefanya moja mbili tatu.
Najua sana serikali inavyofanya kazi ndio maana naponda utaratibu wa akina makalla.Unajua serikali inavyofanya kazi lakini?
Hembu taja kero 10 ambazo makonda alifanikiwa kuzitatua na sasa hazipo tena. Anza na ile ya kuahidi kutoa matrekta ili barabara za kawe zitengenezwe
Twende kazi
Walikuwa wanatatua kero au wanajibu maswali??Makonda ndio alikua anasikiliza kero makalla anaorodhesha kero. Tofaiti makonda alikua anapata suluhu maana kero zinatolewa hadharani viongozi wa serikali wapo wanajibu kero. Makala anaorodhesha tena nje ya uwazi. Njia hiyo yeye na katibu mkuu wake wanaficha nakuwasitiri vigogo dhulumati isitoshe uwezekano kufanyika usanii kuepa kupatikana haki ni mkubwa.