SAGAI GALGANO
JF-Expert Member
- Nov 13, 2009
- 47,706
- 69,281
Hili guluguja Amos Makalla linatumia makalio kufikiri
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Amos Makalla ni taahira kabisaLisu ni mpumbavu sana
Nionesheni mahali popote Tundu Lissu akijiandikisha. Inaingia kwenye rekodi kuwa hatopiga kura katika nchi hii kwenye Uchaguzi wa Serikali za Mitaa. Lakini tutarajie kelele za kuhoji matokeo, wakati hata kura yake hana."
Ambaruty anatosha apewe hiyo nafasiHiyo nafasi apewe mchungaji Msigwa au Haji Manara 🐼
Anatukumbusha wasio tumwa maporini kuchimba dawakwamba usipo piga kura huna haki ya kulalamikia matoke na udanganyaji utako jitokeza
Labda tayari ni Mbeleji huwezi juaKatibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM Taifa, Amos Makalla, ameeleza kupata ukakasi mkubwa kuhusu hatua ya kiongozi ambaye ni mwanasheria na anayejua haki na demokrasia, lakini anakataa kutumia haki yake ya kupiga kura. Hili limejitokeza baada ya Tundu Lissu, Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA, kutotimiza wajibu wa kujiandikisha kwa ajili ya Uchaguzi wa Serikali za Mitaa, unaotarajiwa kufanyika Novemba 27.
Akizungumza leo Oktoba 22 wakati akipokea ripoti ya Uandikishaji Mkoa wa Dar es Salaam, Makalla amesema, "Nionesheni mahali popote Tundu Lissu akijiandikisha. Inaingia kwenye rekodi kuwa hatopiga kura katika nchi hii kwenye Uchaguzi wa Serikali za Mitaa. Lakini tutarajie kelele za kuhoji matokeo, wakati hata kura yake hana."
Pia, Soma:
+ Tundu Lissu mbinafsi, hajajiandikisha kupiga kura awapigie wengine lakini 2025 atataka watu wampigie kura
+ Amos Makalla: Tulipokuwa tunajiandaa na Uchaguzi wenzetu walikuwa kwenye Maandamano!