Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024
Yaani CCm hapo ni km wameweka galasa, mby zaidi wameshindwa kbs kusoma alama za nyakati!!
Nionesheni mahali popote Tundu Lissu akijiandikisha. Inaingia kwenye rekodi kuwa hatopiga kura katika nchi hii kwenye Uchaguzi wa Serikali za Mitaa. Lakini tutarajie kelele za kuhoji matokeo, wakati hata kura yake hana."
 
Uzuri wa Lissu huwa hataki kabisa kuisaliti nafsi yake! Na siyo mnafiki.
Hapo hakuna Uchaguzi ni Uchafuzi.
 
Labda tayari ni Mbeleji huwezi jua
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…