Pre GE2025 Amos Makalla: Wanaosema No Reform No Election hawana fedha za kufanya Uchaguzi

Pre GE2025 Amos Makalla: Wanaosema No Reform No Election hawana fedha za kufanya Uchaguzi

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
CCM walikuwa wanailea CDM, bado wanatafakari jinsi ya kumuingiza kwenye payroll huyu mwenyekiti mpya.
 
Katibu wa Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Amos Makalla amesema chama hicho kinaendelea kujipanga kwa uchaguzi ujao, huku akibeza kauli ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) inayosema hawatoingia kwenye uchaguzi pasipo kuwa na mabadiliko ya mifumo ya uchaguzi.

Kamati kuu ya Chadema iliazimia kwamba 'No reform no election' uamuzi ambao umepigiliwa msumari na Mwenyekiti mpya wa Chadema, Tundu Lissu kwamba kwa sasa wanapigania mabadiliko ya sheria na si vinginevyo.

Leo Jumapili, Januari 26, 2025, akiwa Ofisi Kuu ya CCM Zanzibar, Makalla amesema hao wanaosema 'no reform no election' hawana fedha wanatafuta sababu.

======================

Na Mimi nakubaliana naye, jamaa wanataka kuvuta muda ili wajiandae, hiyo slogan ni kisingizio tu.

View attachment 3214776
Kwani hizo pesa vyama vya siasa huwa vinazitoa wapi?.
 
CHADEMA waache visingizio vya kijinga, hiyo slogan yao ya No reform no election haitekelezeki kwa muda huu uliobaki kuelekea uchaguzi mkuu wa October! Waache utoto na waanze kujiandaa na uchaguzi.
Tuna zaidi ya vyama 19 kama CHADEMA hawako tayari kwa uchaguzi basi hilo si suala la vyama vyote na wasilete vurugu za kijinga.
Itaeleweka tu mkuu! Wewe subiri muda ufike! Hata kama ni mimi nisingekubali uchaguzi gani huo??? Kwa tume hii hii! Hapana! Tundu lissu ni mzalendo wa kweli
 
Katibu wa Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Amos Makalla amesema chama hicho kinaendelea kujipanga kwa uchaguzi ujao, huku akibeza kauli ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) inayosema hawatoingia kwenye uchaguzi pasipo kuwa na mabadiliko ya mifumo ya uchaguzi.

Kamati kuu ya Chadema iliazimia kwamba 'No reform no election' uamuzi ambao umepigiliwa msumari na Mwenyekiti mpya wa Chadema, Tundu Lissu kwamba kwa sasa wanapigania mabadiliko ya sheria na si vinginevyo.

Leo Jumapili, Januari 26, 2025, akiwa Ofisi Kuu ya CCM Zanzibar, Makalla amesema hao wanaosema 'no reform no election' hawana fedha wanatafuta sababu.

======================

Na Mimi nakubaliana naye, jamaa wanataka kuvuta muda ili wajiandae, hiyo slogan ni kisingizio tu.

View attachment 3214776
Ccm safari hii kupitia safi mpya ya uongozi wa chadema wajipange Kwa hoja nzito, vinginevyo safi ya ccm itapanguliwa Kila muda
 
CCM Ina pesa Haina watu,

CHADEMA Haina pesa Ina watu,

Swali Kwa Makala: CCM imepata wapi pesa ikiwa Haina watu wa kuchangia pesa halali?
 
Katibu wa Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Amos Makalla amesema chama hicho kinaendelea kujipanga kwa uchaguzi ujao, huku akibeza kauli ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) inayosema hawatoingia kwenye uchaguzi pasipo kuwa na mabadiliko ya mifumo ya uchaguzi.

Kamati kuu ya Chadema iliazimia kwamba 'No reform no election' uamuzi ambao umepigiliwa msumari na Mwenyekiti mpya wa Chadema, Tundu Lissu kwamba kwa sasa wanapigania mabadiliko ya sheria na si vinginevyo.

Leo Jumapili, Januari 26, 2025, akiwa Ofisi Kuu ya CCM Zanzibar, Makalla amesema hao wanaosema 'no reform no election' hawana fedha wanatafuta sababu.

======================

Na Mimi nakubaliana naye, jamaa wanataka kuvuta muda ili wajiandae, hiyo slogan ni kisingizio tu.

View attachment 3214776
CCM wakubali kufanya reforms kwenye sheria za uchaguzi ili tuone kama kweli Chadema hawatashiriki uchaguzi.

Vv
 
Katibu wa Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Amos Makalla amesema chama hicho kinaendelea kujipanga kwa uchaguzi ujao, huku akibeza kauli ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) inayosema hawatoingia kwenye uchaguzi pasipo kuwa na mabadiliko ya mifumo ya uchaguzi.

Kamati kuu ya Chadema iliazimia kwamba 'No reform no election' uamuzi ambao umepigiliwa msumari na Mwenyekiti mpya wa Chadema, Tundu Lissu kwamba kwa sasa wanapigania mabadiliko ya sheria na si vinginevyo.

Leo Jumapili, Januari 26, 2025, akiwa Ofisi Kuu ya CCM Zanzibar, Makalla amesema hao wanaosema 'no reform no election' hawana fedha wanatafuta sababu.

======================

Na Mimi nakubaliana naye, jamaa wanataka kuvuta muda ili wajiandae, hiyo slogan ni kisingizio tu.

View attachment 3214776
Huyu hana siku nyingi
 
Msije mkafikiri Lissu ni mjinga mjinga. Kila kitu anafanya kwa mpango. Huyu jamaa watu hawajui ni kati ya watu wenye akili nyingi Tanzania nzima. Lissu ametumia muda wa chaguzi kujenga uhusiano wa wana habari sasa hawamuogopi, sasa huwezi kuwadanganya wakati wajua mpaka nyumbani kwakwe. Tatizo ni kwamba Lissu ana akili mara mbili ya nyie machawa
 
Fahamu kwamba mwenyekiti wa sasa ni lissu! Na swala sio kushiriki chaguzi ngapi! Kwa sasa tumechoka na uchafu unaofanywa chini ya katiba hii! Ndo maana tumefika mwisho ni heri uchaguzi usiwepo lakini kwa katiba hii ni kuharibu tu kodi za wananchi
CHADEMA ni chama tu cha siasa kama vyama vingine UPDP, PONA , TADEA n.k.
Hakina uwezo wa kuzuia Taifa lisifanye uchaguzi kwa mujibu wa Katiba.
 
Back
Top Bottom