Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani hizo pesa vyama vya siasa huwa vinazitoa wapi?.Katibu wa Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Amos Makalla amesema chama hicho kinaendelea kujipanga kwa uchaguzi ujao, huku akibeza kauli ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) inayosema hawatoingia kwenye uchaguzi pasipo kuwa na mabadiliko ya mifumo ya uchaguzi.
Kamati kuu ya Chadema iliazimia kwamba 'No reform no election' uamuzi ambao umepigiliwa msumari na Mwenyekiti mpya wa Chadema, Tundu Lissu kwamba kwa sasa wanapigania mabadiliko ya sheria na si vinginevyo.
Leo Jumapili, Januari 26, 2025, akiwa Ofisi Kuu ya CCM Zanzibar, Makalla amesema hao wanaosema 'no reform no election' hawana fedha wanatafuta sababu.
======================
Na Mimi nakubaliana naye, jamaa wanataka kuvuta muda ili wajiandae, hiyo slogan ni kisingizio tu.
View attachment 3214776
Itaeleweka tu mkuu! Wewe subiri muda ufike! Hata kama ni mimi nisingekubali uchaguzi gani huo??? Kwa tume hii hii! Hapana! Tundu lissu ni mzalendo wa kweliCHADEMA waache visingizio vya kijinga, hiyo slogan yao ya No reform no election haitekelezeki kwa muda huu uliobaki kuelekea uchaguzi mkuu wa October! Waache utoto na waanze kujiandaa na uchaguzi.
Tuna zaidi ya vyama 19 kama CHADEMA hawako tayari kwa uchaguzi basi hilo si suala la vyama vyote na wasilete vurugu za kijinga.
Zinakuchosha wewe mkuu! Wengine tunazipenda kusisikiliza kila wakatiTundu Lissu sasa apunguze Press aanze sasa kujenga Chama na kuweka mikakati ya kuelekea October.
Hizi Press za Kila dakika zinachosha sasa!
Kwani miaka yote CHADEMA walishiriki chaguzi kwa tume ipi?Itaeleweka tu mkuu! Wewe subiri muda ufike! Hata kama ni mimi nisingekubali uchaguzi gani huo??? Kwa tume hii hii! Hapana! Tundu lissu ni mzalendo wa kweli
Ccm safari hii kupitia safi mpya ya uongozi wa chadema wajipange Kwa hoja nzito, vinginevyo safi ya ccm itapanguliwa Kila mudaKatibu wa Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Amos Makalla amesema chama hicho kinaendelea kujipanga kwa uchaguzi ujao, huku akibeza kauli ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) inayosema hawatoingia kwenye uchaguzi pasipo kuwa na mabadiliko ya mifumo ya uchaguzi.
Kamati kuu ya Chadema iliazimia kwamba 'No reform no election' uamuzi ambao umepigiliwa msumari na Mwenyekiti mpya wa Chadema, Tundu Lissu kwamba kwa sasa wanapigania mabadiliko ya sheria na si vinginevyo.
Leo Jumapili, Januari 26, 2025, akiwa Ofisi Kuu ya CCM Zanzibar, Makalla amesema hao wanaosema 'no reform no election' hawana fedha wanatafuta sababu.
======================
Na Mimi nakubaliana naye, jamaa wanataka kuvuta muda ili wajiandae, hiyo slogan ni kisingizio tu.
View attachment 3214776
Tume za Jpm na Samia hakuna kitu, tumeshuhudia serikali za mitaa madudu matupuKwani miaka yote CHADEMA walishiriki chaguzi kwa tume ipi?
Haahaa SI walishamchangia mchango? WamtulizeCCM walikuwa wanailea CDM, bado wanatafakari jinsi ya kumuingiza kwenye payroll huyu mwenyekiti mpya.
Fahamu kwamba mwenyekiti wa sasa ni lissu! Na swala sio kushiriki chaguzi ngapi! Kwa sasa tumechoka na uchafu unaofanywa chini ya katiba hii! Ndo maana tumefika mwisho ni heri uchaguzi usiwepo lakini kwa katiba hii ni kuharibu tu kodi za wananchiKwani miaka yote CHADEMA walishiriki chaguzi kwa tume ipi?
CCM wakubali kufanya reforms kwenye sheria za uchaguzi ili tuone kama kweli Chadema hawatashiriki uchaguzi.Katibu wa Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Amos Makalla amesema chama hicho kinaendelea kujipanga kwa uchaguzi ujao, huku akibeza kauli ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) inayosema hawatoingia kwenye uchaguzi pasipo kuwa na mabadiliko ya mifumo ya uchaguzi.
Kamati kuu ya Chadema iliazimia kwamba 'No reform no election' uamuzi ambao umepigiliwa msumari na Mwenyekiti mpya wa Chadema, Tundu Lissu kwamba kwa sasa wanapigania mabadiliko ya sheria na si vinginevyo.
Leo Jumapili, Januari 26, 2025, akiwa Ofisi Kuu ya CCM Zanzibar, Makalla amesema hao wanaosema 'no reform no election' hawana fedha wanatafuta sababu.
======================
Na Mimi nakubaliana naye, jamaa wanataka kuvuta muda ili wajiandae, hiyo slogan ni kisingizio tu.
View attachment 3214776
Huyu hana siku nyingiKatibu wa Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Amos Makalla amesema chama hicho kinaendelea kujipanga kwa uchaguzi ujao, huku akibeza kauli ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) inayosema hawatoingia kwenye uchaguzi pasipo kuwa na mabadiliko ya mifumo ya uchaguzi.
Kamati kuu ya Chadema iliazimia kwamba 'No reform no election' uamuzi ambao umepigiliwa msumari na Mwenyekiti mpya wa Chadema, Tundu Lissu kwamba kwa sasa wanapigania mabadiliko ya sheria na si vinginevyo.
Leo Jumapili, Januari 26, 2025, akiwa Ofisi Kuu ya CCM Zanzibar, Makalla amesema hao wanaosema 'no reform no election' hawana fedha wanatafuta sababu.
======================
Na Mimi nakubaliana naye, jamaa wanataka kuvuta muda ili wajiandae, hiyo slogan ni kisingizio tu.
View attachment 3214776
Tundu Lissu sasa apunguze Press aanze sasa kujenga Chama na kuweka mikakati ya kuelekea October.
Hizi Press za Kila dakika zinachosha sasa!
CHADEMA ni chama tu cha siasa kama vyama vingine UPDP, PONA , TADEA n.k.Fahamu kwamba mwenyekiti wa sasa ni lissu! Na swala sio kushiriki chaguzi ngapi! Kwa sasa tumechoka na uchafu unaofanywa chini ya katiba hii! Ndo maana tumefika mwisho ni heri uchaguzi usiwepo lakini kwa katiba hii ni kuharibu tu kodi za wananchi