Amos Makalla: Wanawake wa CHADEMA kuchoma Kanga ni Kitendo cha Kishamba Sana

Amos Makalla: Wanawake wa CHADEMA kuchoma Kanga ni Kitendo cha Kishamba Sana

Lucas Mwashambwa

JF-Expert Member
Joined
Jul 28, 2022
Posts
28,722
Reaction score
20,610
Ndugu zangu Watanzania,

Katibu wa itikadi na uenezi wa chama cha Mapinduzi CCM Mheshimiwa CPA Amos Gabriel Makala.Amesema ya kuwa kitendo walichokifanya baadhi ya wanawake wa CHADEMA kuchoma Kanga ni Kitendo cha Kishamba sana alichokishuhudia .

Gwiji na nguli huyo wa mahesabu na uhasibu na ambaye amewahi kuwa Mhazina wa CCM Taifa ,mkuu wa mikoa mbalimbali ikiwepo Mbeya ,Katavi ,Mwanza na Dar es salaam na ambaye anafahamika sana ndani ya chama na serikali kutokana na kufanya kazi tangia UVCCM.lakini pia kushika nafasi ya juu kabisa serikalini yaani unaibu Waziri.

Hii ni katika Muendelezo wa kauli ambazo zimeendelea kutolewa na watu mbalimbali kulaani sana kitendo cha kihayani na kilichokosa busara na hekima kilicho fanywa na wanawake wa CHADEMA.ambao hata hivyo wamekuwa na mchango mdogo sana kwa wanawake wa Nchi hii ambao kwa kiasi kikubwa wamekuwa wakiwategemea UWT yaani jumuiya ya umoja wa wanawake wa CCM Tanzania kwa ajili ya kuwasemea na kuwatetea katika masuala mbalimbali
Screenshot_20241005-220404_1.jpg


Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
 
Alitaka wamchome yeye?
CHADEMA msipoacha masuala ya utoto utoto na kihuni kihuni mtaendelea kupotea katika ramani ya siasa za Nchi hii. Hivi hamshituki na kujitafakari kwanini mnaendelea kupuuzwa sana na watanzania? Hamujiulizi kwanini hamuungwi mkono kwa chochote kile kwa sasa?
 
Ndugu zangu Watanzania,

Katibu wa itikadi na uenezi wa chama cha Mapinduzi CCM Mheshimiwa CPA Amos Gabriel Makala.Amesema ya kuwa kitendo walichokifanya baadhi ya wanawake wa CHADEMA kuchoma Kanga ni Kitendo cha Kishamba sana alichokishuhudia .

Gwiji na nguli huyo wa mahesabu na uhasibu na ambaye amewahi kuwa Mhazina wa CCM Taifa ,mkuu wa mikoa mbalimbali ikiwepo Mbeya ,Katavi ,Mwanza na Dar es salaam na ambaye anafahamika sana ndani ya chama na serikali kutokana na kufanya kazi tangia UVCCM.lakini pia kushika nafasi ya juu kabisa serikalini yaani unaibu Waziri.

Hii ni katika Muendelezo wa kauli ambazo zimeendelea kutolewa na watu mbalimbali kulaani sana kitendo cha kihayani na kilichokosa busara na hekima kilicho fanywa na wanawake wa CHADEMA.ambao hata hivyo wamekuwa na mchango mdogo sana kwa wanawake wa Nchi hii ambao kwa kiasi kikubwa wamekuwa wakiwategemea UWT yaani jumuiya ya umoja wa wanawake wa CCM Tanzania kwa ajili ya kuwasemea na kuwatetea katika masuala mbalimbaliView attachment 3116315

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
sure,
ni ushamba wa kiwango cha juu sana ule duniani 🐒
 
wale wamama inawezekana kabisa ni washirikina sana wanaopenda mambo ya kiganga,

inashangaza sana,
yaani wamama watu wazima na heshima zao, wanachoma vitenge vipya kwasabb tu ya mihemko binafsi.

Si bora hata wangewapatia vituo vya malezi ya watoto wasio na walezi mitaani, wangelikua wamewasitiri na Baraka za Mungu zingekua juu yao? 🐒

sasa maamuzi ya hovyo ya kukurupuka kama ya hawa wamama, si ni sawa tu na yale maamuzi ya kukurupuka ya mwenyekiti wao kuhusu maandamano haramu yaliyopigwa marufuku na polisi ?🐒
 
Back
Top Bottom