Kweli ukiwa mfupi tena mwanamume unakuwa kizibo ukichanganya na uweusi yani kufa ni kufa tu usafiri peke yako au ubaki kwako ikifika imefika tu bata weweWashaambiwa wasiwe wanasafiri kifamilia hamuelewi.
Sahihi kabisaKama ni mtu wa majukumu sana usiendeshe gari. Majukumu yanaleta uchovu wa akili na kuhamisha mawazo.
Tafuta vijana hapo mjini wakupeleke, halafu unawatoa na laki moja mbili
Siku ikipangwa imepangwa tu mzee.Kama ni mtu wa majukumu sana usiendeshe gari. Majukumu yanaleta uchovu wa akili na kuhamisha mawazo.
Tafuta vijana hapo mjini wakupeleke, halafu unawatoa na laki moja mbili
Inabdi umtafute mtu umlipe hela aku drive...sema unajuwa tena cha mtu mali!Yani ni huzuni kweli.
Nko nadhani ni wameru sio wachagaWatu wa wawili wa familia moja; aliyekuwa Mkurugenzi wa Utawala na Rasilimali Watu kwenye Ofisi ya Msajili na Hazina, Amos Nnko na binti yake wa kwanza, Maureen Nnko wamefariki dunia katika ajali ya barabarani iliyotokea wilayani Same, mkoani Kilimanjaro.
Taarifa ya Msajili wa Hazina, Nehemia Mchechu imeeleza kuwa katika ajali hiyo iliyotokea jana mchana, mke wa marehemu na watoto wengine wawili na mwanafamilia mmoja wamejeruhiwa na wanapatiwa matibabu katika hospitali za KCMC na Mawenzi Mkoani Kilimanjaro.
Chanzo:TBC
R.I.P MANGI
Watu wa wawili wa familia moja; aliyekuwa Mkurugenzi wa Utawala na Rasilimali Watu kwenye Ofisi ya Msajili na Hazina, Amos Nnko na binti yake wa kwanza, Maureen Nnko wamefariki dunia katika ajali ya barabarani iliyotokea wilayani Same, mkoani Kilimanjaro.
Taarifa ya Msajili wa Hazina, Nehemia Mchechu imeeleza kuwa katika ajali hiyo iliyotokea jana mchana, mke wa marehemu na watoto wengine wawili na mwanafamilia mmoja wamejeruhiwa na wanapatiwa matibabu katika hospitali za KCMC na Mawenzi Mkoani Kilimanjaro.
Chanzo:TBC
R.I.P MANGI
Hasa pale kirinjiko upepo wake sio pouwaKipande cha Makanya to Same kinakuwaga na viajali vya Hapa na pale wakati Njia imenyooka barabara nzuri.
Nafikiri tatizo ni upepo mkali eneo hilo
Kila mtu ni muhimu kwa nafasi yake achaa zarau kijana, nyinyi ndiyo mnazarau hadi wafanyakazi wa ndani hadi wanawalisha vichafu bila kujua kwa sababu ya mazarau yenu!!Watu muhimu sana wanasepa,bora angekuwa winga kusinge kuwa na shida
Chuma imeisha 😬Rip Mangi
hii nadharia ina ukakasi japo ndo reality lakini viumbe hai siku zote tupo katika nature ya kujilinda,Siku ikipangwa imepangwa tu mzee.
Tunapoletwa duniani hatuulizwi kama tupo tayari kuja, na tunapotolewa pia hatuambiwa wala kuulizwa. Life has never been fair since day 1.