TANZIA Amos Nnko, Mkurugenzi ofisi ya Msajili wa Hazina, bintiye wafariki ajalini Same

Kama ni mtu wa majukumu sana usiendeshe gari. Majukumu yanaleta uchovu wa akili na kuhamisha mawazo.
Tafuta vijana hapo mjini wakupeleke, halafu unawatoa na laki moja mbili
Sahihi na hii ni sababu kubwa, hizi safari ndefu kama huna uzoefu ni hatari...Poleni wafiwa, poleni familia.
 
Kile kipande upepo ni mkali na hatujui sehemu za upepoili utoke salama uendeshe vioo vikiwa cimefungwa au wazi? Na speed ngapi ili gari ipite salama.
Upepo wa pale sio kinzani ni upepo unaokata brbr. Unakuhamisha chap
 
Kama ni mtu wa majukumu sana usiendeshe gari. Majukumu yanaleta uchovu wa akili na kuhamisha mawazo.
Tafuta vijana hapo mjini wakupeleke, halafu unawatoa na laki moja mbili
Usisahau: kila kifo lazima kiwe na sababu, ili kitokee!
 
Watoto Wana umri Gani? Nimeuliza tu
 
Pumzika kwa Amani Mr Nko, umekuwa Mzee wetu wa usharika KKKT Mbezi Beach kwa muda mrefu sana, Mungu akulipe sawasawa na matendo yako hapa duniani. Mungu awajalie majeruhi nafuu ya mapema
 
Imefika wakati sasa Hilo eneo linalosemekana kuwa na upepo mkali hapo Same dereva anapokaribia Hilo eneo pawekwe barrier kwa ajili ya kuwakumbusha mdereva ambao Siyo wazoefu na jiografia ya Hilo eneo hatari, au vinginevyo pawekwe matuta kadhaa kunusura maisha ya watu
 
Sifa ya kwanza kama unasafiri na familia, hakikisha umelala zaidi ya saa 8, hakikisha spidi hauzidi 100, hakikisha safari unaigawa kwa phases angalau kila baada ya km 70-100 una break dk 15.

Kama unasafiri mwenyewe una drive na uko pwkw yako jilipue hata 360km/hr
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…