muhomakilo jr
JF-Expert Member
- Jul 28, 2013
- 15,301
- 13,858
Sahihi na hii ni sababu kubwa, hizi safari ndefu kama huna uzoefu ni hatari...Poleni wafiwa, poleni familia.Kama ni mtu wa majukumu sana usiendeshe gari. Majukumu yanaleta uchovu wa akili na kuhamisha mawazo.
Tafuta vijana hapo mjini wakupeleke, halafu unawatoa na laki moja mbili
Duuh jamaa qlipatwa na nn mbona kama kagongana na kituRip Mangi
Usisahau: kila kifo lazima kiwe na sababu, ili kitokee!Kama ni mtu wa majukumu sana usiendeshe gari. Majukumu yanaleta uchovu wa akili na kuhamisha mawazo.
Tafuta vijana hapo mjini wakupeleke, halafu unawatoa na laki moja mbili
Watoto Wana umri Gani? Nimeuliza tuView attachment 3183106
Ajali zinazotokea msimu wa sikukuu zimeendelea kuacha majonzi kwa Watanzania, baada ya aliyekuwa Mkurugenzi wa Utawala na Usimamizi wa Rasilimaliwatu ofisi ya Msajili wa Hazina, Amos Nnko kufariki dunia.
Nnko amefariki dunia katika ajali ya gari iliyotokea maeneo ya Same, mkoani Kilimanjaro, jana mchana Jumapili, Desemba 22, 2024. Katika ajali hiyo, pia binti yake wa kwanza, Maureen Nnko amefariki.
Hayo yamethibitishwa na Msajili wa Hazina, Nehemiah Mchechu leo Jumatatu Desemba 23, 2024 kupitia taarifa yake kwa vyombo vya habari.
Katika taarifa hiyo, imeelezwa kuwa mke wa marehemu, Agnes Nnko na watoto-- Marilyn, Melvin na pamoja na mwanafamilia mwingine, Sylvana wanaendelea kupatiwa matibabu katika Hospitali ya KCMC na Mawenzi.
“Mipango ya mazishi inaendelea kuratibiwa na familia ya marehemu kwa kushirikiana na Ofisi ya Msajili wa Hazina,” imeeleza taarifa hiyo.
View attachment 3183107
pale KIRINJIKO kuna upepo wa ki-pepoKipande cha Makanya to Same kinakuwaga na viajali vya Hapa na pale wakati Njia imenyooka barabara nzuri.
Nafikiri tatizo ni upepo mkali eneo hilo
Mzee ndio alikua anaendesha aiseeRip Mangi
Dah ila ile ya ubalozi Mushi walimuondoa. Ila jamaa aligonga wake za watu sana tena alikuwa anatatuaInabdi umtafute mtu umlipe hela aku drive...sema unajuwa tena cha mtu mali!
Mambo ya balozi mushi RIP
OVA
Huyo si mangi bwanaaR.i.p MANGI inauma sana